iamriq_arthur
JF-Expert Member
- May 1, 2021
- 440
- 1,086
Ulifunga GPS?
Mkataba unasemaje?
Aisee pole sana ungefunga GPS mkuu tuko enzi za kidigitali...Enewei pakuanzia hakikisha unampata mshikaji wake wa karibu kabisaaa huyo ukimbana vizuri kwa pesa au kibano atakueleza A-Z ndivyo wanaintelijensia hufanya.
Kamtie mama yake mzazi ndani ndugu watakuja kuchanga ulipwe wamtoe ndugu yao, full stopMzamini wake ni mama yake mzazi
Kamtie ndani mama yake ukileta roho ya kulemba ndio ushakula kwako kala njama na mama yake umeibiwa huipati ng'o, ukimtia ndani atataja mwanae alipo au ndugu watajichanga ulipwe pesa yako usilete roho ya huruma kwenye Mali yakoSasa utampigaje rafiki ake wa karibu kama vile yeye ndie aliehusika..?
Kwahiyo wakati unampa bajaji ulijua kazi ya mdhamini ni nini?
Kamtie ndani mama yake ukileta roho ya kulemba ndio ushakula kwako kala njama na mama yake umeibiwa huipati ng'o,
Sio wewe ndo upige..polisi ndio hufanya hivyo..lakini hata watu mafia hufanya nimekupa mfano tu wa pa kuanzia na sio lazima utumie nguvu unatumia akili thats y nimekwambia unaweza tumia njia kama Pesa kumshawishi akwambie alipoSasa utampigaje rafiki ake wa karibu kama vile yeye ndie aliehusika..?
Unampanga namna ya kukujibu?Bro naomba msaada wa maoni na ushauri, sio kuniuliza maswali
Kenge kweli,violence kwa rafiki yake ya nini,anahusika vipi kwenye mkataba wenuAisee pole sana ungefunga GPS mkuu tuko enzi za kidigitali...Enewei pakuanzia hakikisha unampata mshikaji wake wa karibu kabisaaa huyo ukimbana vizuri kwa pesa au kibano atakueleza A-Z ndivyo wanaintelijensia hufanya.
Fanya hivyo, tena usicheke nae kabisa, report Mara moja kituoni mtie ndani usilete roho ya huruma kwenye Mali yako utaibiwa kila sikuAsante kwa ushauri wako, kesho naamukia kufanya hili zoezi
Ivi wewe bata unajua hata chochote kuhusu upelelezi?Unajua ukitoka nyumbani ukapotea nani ataulizwa wa kwanza kama sio rafiki wako wa karibu?Unajua rafiki wa mwizi ni mwizi?? Unajua kwenye upelelezi wanabanwa marafiki kabla ya mhusika? Ficha ujinga wako sawa?Kenge kweli,violence kwa rafiki yake ya nini,anahusika vipi kwenye mkataba wenu
Mdhamini sio mkewe, unatafuta kumtia kwenye kesi nyingine amekwambia mdhamini ni mama yake, akimtia ndani atataja mwanae alipo au mwanae akisikia mama yake katiwa ndani atageuza na kurudisha Bajaj ya watuKama ana mke,mchukue mke wake,faster tu atajitokeza,wahindi ndio zao uko India,atahakikisha anampata mke wako ,ili umlipe kwa haraka,ama urudishe chake