Naipataje Bajaj yangu iliyoibiwa

Kama anapatikana hewani nenda katoe ripot wamtrack ataonekana yupo wapi
 
Huyo lazma n wale madogo wanapambania ku buy jeans na mademu na simu kali...kama anapatkana hewan n rahs muno kumpata n ww tuu ...
 
Kenge kweli,umejiona unajua
 
hata usihangaike kuanza kumtrack jamaa wakati mama yake yupo na ndo mdhamini wake na bila shaka wanawasiliana hao...weka ndani mdhamini af we kaa palee utaona dogo anakuja mbio na bajaji
 
Aisee pole sana ungefunga GPS mkuu tuko enzi za kidigitali...Enewei pakuanzia hakikisha unampata mshikaji wake wa karibu kabisaaa huyo ukimbana vizuri kwa pesa au kibano atakueleza A-Z ndivyo wanaintelijensia hufanya.
Wala sio dawa ! Hawa wanaofunga hzio module wanauza siri kwa wezi kwa hiyo mwiI akiiba bajaji cha kwanza anaitoa hiyo module ,unakuwa huwezi track tena bajaji yako.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…