Donnie Charlie
JF-Expert Member
- Sep 16, 2009
- 16,908
- 19,123
Kwanza katoe taarifa tra, kuwa kuanzia sasa temporary hio mali haipo mikononi mwako.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwanza katoe taarifa tra, kuwa kuanzia sasa temporary hio mali haipo mikononi mwako.
Kama anapatikana hewani nenda katoe ripot wamtrack ataonekana yupo wapiKuna mtu nlimpa Bajaj ya mzigo kwa mkataba na amekimbia nayo hajulikani alipo, nikipiga simu hapokei na muda mwingne haipatikani kabisa. Ntaweze kumpata mtu huyu,?
Mzamini wake ni mama yake mzazi, je mnanishauri nichukue hatua gani ili niweze kuipata bajaj yangu..?
Haya yote yapo juu ya sheria, ukiwa umeweza hili sasa hatua inayofuata weka wadhamini wote ndani.Ok then baada ya kutoa taarifa TRA nifanyeje kingne
Aanze kwanza kutia wadhamini ndani alafu aelekee Tra, wasije wakatoroshwaHaya yote yapo juu ya sheria, ukiwa umeweza hili sasa hatua inayofuata weka wadhamini wote ndani.
Huyo lazma n wale madogo wanapambania ku buy jeans na mademu na simu kali...kama anapatkana hewan n rahs muno kumpata n ww tuu ...
Kenge kweli,umejiona unajuaIvi wewe bata unajua hata chochote kuhusu upelelezi?Unajua ukitoka nyumbani ukapotea nani ataulizwa wa kwanza kama sio rafiki wako wa karibu?Unajua rafiki wa mwizi ni mwizi?? Unajua kwenye upelelezi wanabanwa marafiki kabla ya mhusika? Ficha ujinga wako sawa?
hata usihangaike kuanza kumtrack jamaa wakati mama yake yupo na ndo mdhamini wake na bila shaka wanawasiliana hao...weka ndani mdhamini af we kaa palee utaona dogo anakuja mbio na bajajiKuna mtu nlimpa Bajaj ya mzigo kwa mkataba na amekimbia nayo hajulikani alipo, nikipiga simu hapokei na muda mwingne haipatikani kabisa. Ntaweze kumpata mtu huyu?
Mzamini wake ni mama yake mzazi, je mnanishauri nichukue hatua gani ili niweze kuipata bajaj yangu?
Hii mwisho wa mchezo.hata usihangaike kuanza kumtrack jamaa wakati mama yake yupo na ndo mdhamini wake na bila shaka wanawasiliana hao...weka ndani mdhamini af we kaa palee utaona dogo anakuja mbio na bajaji
Hii mwisho wa mchezo.
Na akirudi vunja mkataba haijalishi alibakisha miezi miwili ama mmoja.
Mtafute mama yakeMkataba unasema,marejesho kwa kila mwisho wa week 70.k Ndani ya mwaka mmoja na miezi 6. Na mzamini wake ni mama yake.
Wala sio dawa ! Hawa wanaofunga hzio module wanauza siri kwa wezi kwa hiyo mwiI akiiba bajaji cha kwanza anaitoa hiyo module ,unakuwa huwezi track tena bajaji yako.Aisee pole sana ungefunga GPS mkuu tuko enzi za kidigitali...Enewei pakuanzia hakikisha unampata mshikaji wake wa karibu kabisaaa huyo ukimbana vizuri kwa pesa au kibano atakueleza A-Z ndivyo wanaintelijensia hufanya.
Mrejesho vipi?Asante kwa ushauri wako, kesho naamukia kufanya hili zoezi
Beba mdhamini weka lock upMkataba unasema,marejesho kwa kila mwisho wa week 70.k Ndani ya mwaka mmoja na miezi 6. Na mzamini wake ni mama yake.