Uchaguzi 2020 Naipenda CCM, Sipendi yanayojiri

hali hio yako pia ninayo mim kwa upande wangu hapa Mtaa wa ufipa tumekuwa makundi makund.

POLENI, WE KNOW THAT PEOPLE HAWAKO NA FURAHA NA BAADHI YA VIONGOZI, UCHAGUZI HUU HAKUNA CHAMA KISICHOKUWA NA KASORO.

CHADEMA WANASHIDA YA KUONENANA WIVU, LISSU AMEKUWA NA MVUTO MKUBWA NA KUHATARISHA AUTHORITY YA MWENYE KITI NA GENGE LAKE. KUNA MENGI YAMEJITIKEZA, NA HAYAFAI MIMI KUYASEMA LAKINI YATAJITOKESA BAADA YA 3RD OCTOBER.

ACT; WAMEANZA NA UNAFIKI NA KUCHEZEANA, HAKUNA UELEWANO KATI YA VIONGOZI. INAKUWAJE KIONGOZI UNAUNGA MKONO MGOMBEA MWENGINE NA HALI CHAMA CHAKO KINA MGOMBEA. HYPOCRIT
 
Ndiyo kwa sababu sisi hatuna unafiki na sio bendera. Tukiona kuna kosa ndani ya chama tunakosoa na kushauri, hatufumbii macho kama nyie. Nyie uozo wowote unaofanywa na viongozi wenu mnavimeza na kuvitetea. Not with me
Huijui ccm wewe,malima,Prof Assad,mgimwa??wako wapi???immature
 
Wewe nyumbu unasema Kampeni ya CCM imepoteza muelekeo! Unatumia nini kufikiri ! Hivi unaweza kufananinisha CCM kifedha ,na rasilimali watu na hiko kichama chenu kilichoshindwa kuwa na ofisi kwa miaka 20 sasa ! Alafu kinataka kitawale nchi.!
 
Huijui ccm wewe,malima,Prof Assad,mgimwa??wako wapi???immature

KILA SIASA NA KILA CHAMA KINA CASUALITY ZAKE, HATA CHADEMA, WAKO WAPI AKINA CHACHA WANGWE, ZITTO, CUF- MAALIM SEIF, NCCR - MREMA, NK.....,
 
Hapa ni Tabora ! Unasema CCM imepoteza muelekeo unaakili kweli wewe!
 
Yaani hapa unakiri kuwa kampeni yake haina muelekeo[emoji116][emoji116]
1. Kwa mara ya kwanza campaigne ya Urais na Wabunge haina muelekeo. Magufuli umefeli sana na kukiharibu chama kwa kuwashirikisha vijana/ watu wasio na ujuzi wa namna kampeni

Kisha hapa unakiri kuwa chama kinamfia na Chadema wanachukua Dola bila tabu[emoji116][emoji116]

3. Magufuli dhambi inayokusubiri ni chama kufia mikononi mwako, na dola kuwapa chadema, wanaichukua bila taabu yoyote, kwani mumekiweka chama kiholela.

Huyu huyu Meko unaendelea kupigia mstari aliratibu biashara ya wapinzani kuunga juhudi ambayo ime backfire[emoji116][emoji116]

4. Mmetumia pesa nyingi sana za chama, kuwarubuni na kuwanunua wapinzani, ambao hawana la kutuongezea, na ununuzi wao umeleta mfarakano ndani ya chama.


Kisha Meko huyo huyo atashinda bila shida[emoji116][emoji116]
Magufuli kushinda atashinda, ninashotaka ni kushinda kwa kishindo, that's why we are a bit disapointed. There is no issue winning the election.

Unaonesha kuchanganyikiwa kwa kiwango cha juu sana Mkuu, tulieni kampeni hazijafika hata nusu mmechukua 'likizo' mara mbili na bado mnapwaya.

Lissu ongeza Spana 'wameshalegea'.
 
KILA SIASA NA KILA CHAMA KINA CASUALITY ZAKE, HATA CHADEMA, WAKO WAPI AKINA CHACHA WANGWE, ZITTO, CUF- MAALIM SEIF, NCCR - MREMA, NK.....,
Zito yupo,maalim yupo,mrema yupo.wangwe alifariki.nitajie hao niliokupa Apo juu.wako wapi???
 
Hii Nchi inaongozwa kama familia, how comes unafokea mwajiri wako (wananchi) badala ya kufokea watendaji ambao umepewa uwasimamie?

Hii ni jeuri, kiburi na dharau kubwa kwa wananchi.

we will show you this time kuwa tunajielewa.
 
Usihangaike na maiti, acha wafu wazikane.

28/10/2020 piga kura yako kwa Lissu na huu ndio uzalendo kwa nchi yako
Humu tu kwa mitandao Lissu lazima atashinda, Mziki uko kwenye box la Kura hatoaamini kua Watanzania ubabe wao ni kwenye keyboard tu hawana hata jeuri ya kwenda kupanga foleni ya kupiga Kura!! Muulizeni Mange Kimambi na maandamano yake, support aliyoipata Mtandaoni ilikua kubwa kuliko waliojitokeza barabarani!!
 
Mtoto acha kupiga mayowe, acha waje waone wenyewe.
Mheshimiwa umenikumbusha haka kawimbomwanana! jamani hakuna aliyenako atuwekee! tukumbukie enzi "Gone are the days...."
 
I have not apologized nor will I, Ihave strategically presented my case, will see it as you have, but those few smart ones in your echelon will understand.
Mbona unaharibu utaratibu wenu wa Chama? Ushauri unatakiwa utolewe kupitia vikao halali vya Chama. Tofauti na hivyo ni umbeya.
 
Raisi yupo kazini, yeye anafanya kampeni na pia bado ni raisi wa nchi, na ana majukumu ya kitaifa, sio mtu asiye na kazi na mwenye kungojea akubaliwe maombi yake ya ukimbizi
Kwa hiyo unataka kutuambia kua kuna Raisi na Mgombea Uraisi!? Mgombea Uraisi anataka kushindana na Raisi!?
 
Kwanza tuambie Jiwe yuko wapi na anafanya nn huko aliko?
Magufuli hana pressure
Anajua hata asipofanya kampeni mwisho wa siku atashinda kwa namna yoyote ile even if it needs taking away people's lives.
 
Kusudio gani bhan hizo risasi za miguu lazima upone,Lissu hata ICU hajawai ingia akiwa hajitambui! Kuna watu wametoka ICU kweli na akikupa story yake utatamni ulie!! Ndiyo maana unaona kuna watu kibao Wana vilema vya Miguu au Mikono na wanaishi vizuri tu!!
 
Full airtime wanawapa ccm imesaidia nini. Kila wakati wamekuwa live miaka mitano. Watu tumewasikiliza hadi tukasema too much of evrrything is harmful.
Ona katika hali ngumu bila full vovered kwenye media wapinzani wanapita kama kimbunga
Makosa yaliyofanywa mhh!
Mtu alipata mateso badala ya kumhurumia tukamzidishia mateso.
Akaponywa na Muumba tukamkejeli bila kujua pia tunamkejeli mponya.
Tungeungana na mteswa tungekuwa pazuri sababu asingepata ya kusema nje na ndani akasikilizwa.
Hatuna namna kusudio la Mungu litatimia pamoja na kejeli zote.
Asithubutu mtu kufanya hujuma yoyote maana adhabu yake itakuwa kilio na kusaga meno.

Sent from my Nokia 6.1 using JamiiForums mobile app
 


NDUGU, KWANZA NIPENDEZWA SANA KWA NAMNA ULIVYOPANGA POINT ZAKO, VERY PROFESSIONALLY AND IMPRESSIVE. WHAT U R MISSING NI KUWA SIO KUCHANGANYIKIWA, KATIKA KUFANYA SELF ANALYSIS MTU UNAWEZA ONA MAPUNGUFU KATIKA JUHUDI ZAKO, NA UKAHITAJIKA KUREKEBISHA.

UNAPOKUA INSIDER, UNAWEZA FANYA MAREKEBISHO BILA KUWA A PUBLIC ISHU, LAKINI KAMA SI MTU WA JIKONI, INAKUBIDI UTUMIE NJIA RAHISI YA KUWAFIKIA WAHUSIKA.
 
UKWELI NI KUWA BARA TUTASHINDA URAISI NA UWINGI WA WABUNGE, VISIWANI NI PAGUMU KIDOGO, TUTEGEMEE SEREKALI YA MSETO
Hili kwa Sasa haliwezekani,Raisi ni Mwinyi na ana CV nzuri kuliko ya Maalimu!!
 
Magufuli katumia Dola Sana kunyanyasa upinzani na washauri wake hawakuwa smart wakifanya madudu imagine kununua wabunge na madiwani wa upinzani, hyo ilikuwa low and very shame, na hyo nguvu ya Dola kutesa vyama vya upinzani ambako viko kisheria vimemshishia heshima yake, ka invest much energy kwenye upinzani na kusahau maendeleo ya raia kiujumla, ndio maana kampeni hizi ccm wanapata tabu, na hawaamini Kama bado upinzani wanapata nyomi, Sasa jinsi ccm bado inasiasa za mwaka 60/70/80 watu walipokuwa na uelewa mdogo na 2015 walipata tabu hawakujifunza sasa 2025 Hali itakuwa mbaya wasipobadili siasa zao maana Sasa hivi watu wameshazoea watu wasiojulikana na hofu inaisha.
So magufuli awatumie wazoefu na kufanya siasa za ki science na sio ubabe na ndio maana tundu lissu anapata followers
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…