Naipenda Kazi Yangu

Viatu vya kung'aa ng'aa ivo, hujanivalisha hata siku moja!
Unaongea nin Weee

Kama Hujui Kitu Kaaaaa Kimya

Unahisi Hii Ni Supra Kutoka Kwa Husein Pamba Kali

Nyang'au wee Nimevipigania iv

sijanunua Buku saba saba Karume
 
Walinipiga Na Kunichakaza Ndio

Kuna Siku Nusu Nikojoe Damu Kutokana na Mazoez Waliokuwa wakitufanyia
Kazi ya jeshi lazima ugangamale ...ni sawa na huku tuliko chadema lazima uwe raia mkakamavu , la sivyo lazima ujiunge na team magufuri ili kujisalimisha...hahahaaaaaa kujiita mpinzani nchi za kiafrica yataka moyo wa kizalendo kama askari wa JWTZ
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…