Naipenda sana Taifa Stars lakini...

Naipenda sana Taifa Stars lakini...

GAZETI

JF-Expert Member
Joined
Feb 24, 2011
Posts
5,286
Reaction score
6,736
Ni lazima nihakikishe naangalia mechi nikiwa na Diclofenac, Asprin au Diclopa pembeni
Pia kwa wale wenye Presha siwashauri kuangalia mechi hii. Nina matumaini makubwa na
Timu yetu Nawatakia kila la heri vijana wetu.
 
Uipende timu mpaka unaumwa halafu ratiba ya mechi hujui wapi na wapi kama sio uongo ni nini
 
Hii team lazima Leo igongwe tu maana hamna jinsi!
 
Back
Top Bottom