Stella Njimbwi
JF-Expert Member
- Aug 5, 2016
- 882
- 575
Si swala la povu mkuu. Ni swala la uhalisia kwamba mchezaji yeyote anapojiunga na timu yoyote jambo la kwanza kwake ni maslahi - hata akikataa namna gani. Mapenzi na timu anayoenda yanafuata. Inawezekana mchezaji akaenda timu ambayo awali ilikuwa ni hasimu wake mkubwa, lakini maslahi yakambadilisha akachezea timu hiyohiyo pinzani. Angalia Louis Figo alivyocheza akiwa Barcelona. Nani angethubutu hata kudhani kwamba iko siku angeenda Real Madrid angalau kama mtazamaji tu? Mwangalie alivyoenda Real Madrid. Nani alimtilia shaka kwamba angali na mapenzi na Barcelona? Madhali tumeingia kwenye mtindo wa kusajili wachezaji kwa hela (badala ya ushabiki kama ilivyokuwa enzi za Gossage), huu tunaoudhani kuwa ni usaliti ni jambo tunalopaswa kulizowea: Ajib atatua Yanga, Niyonzima atakwenda Simba, Mrisho Ngasa ameshakwenda Azam na Simba, Louis Figo ameshaenda Real Madrid, Matic ameenda Man U, Neymar ameshaenda PSG.........n.k. Zama za 'nani kaua!' huku wachezaji wakistaafu na ufukara zinatoweka kwa kasi. Nasi wapenzi, washabiki, viongozi na wadau wa vilabu lazima tubadilishe mitizamo yetu kuelekea zama hizi za maslahi (halali) kwanza. Si swala la povu mkuu.Mkuu huna haja ya kutokwa mapovu rudi kwenye mada
Mimi niliona Mpira wa TZ hauwezi kukua pale tu Yanga walipomtoa Hans na kumleta huyu wa sasa cz sijajua hadi Leo sababu za kumtoa yule mzee na kumleta huyu wa sasa ambaye nae ameonekana hana jipya. Inakatisha sana tamaa!Kwa upande wa masilahi na mazingira mazuri ya kazi Yanga tupo vizuri sana sema kinachotukwamisha ni hilo suala la tamaa.
Viongozi inabidi wabadilike bila hivyo msimu ujao ushindi tutausikia kwenye bomba tu.
Ww hukushangaa tumefunga hata na mbao fc mechi mbili mfululizo.
Na hata ubingwa wetu ilikuwa bado kidogo tu tusipate.
Huyo lwandamina mechi nyingi ameshinda kimazabe mazabe.
Ila kipindi cha Hans mtu akinusulika nusulika analambwa zake goli tatu anatulia zake pembeni,na hata idadi za mechi alizofungwa lwandamina zinahesabika ni chache sana yaani.
Sababu kubwa ni tamaa ya kumfunga mwarabu hasa Al Ahly tu basi maana walisikia huyu jamaa huwa anawafunga sana warabuMimi niliona Mpira wa TZ hauwezi kukua pale tu Yanga walipomtoa Hans na kumleta huyu wa sasa cz sijajua hadi Leo sababu za kumtoa yule mzee na kumleta huyu wa sasa ambaye nae ameonekana hana jipya. Inakatisha sana tamaa!
Sent using Jamii Forums mobile app
Ila tukienda na hii falsafa hatutafika popote. Ndio ile unaleta kocha wa kuifunga Simba tu badala ya kuipigisha hatua mbele Klabu.Sababu kubwa ni tamaa ya kumfunga mwarabu hasa Al Ahly tu basi maana walisikia huyu jamaa huwa anawafunga sana warabu
Walisema uwezo wake umeishia pale hana mbinu mpya tena za kuivusha yanga zaidi ya pale.Hivi Hans alitolewa kwa sababu zipi? Huyu Lwandamina ameleta mabadiliko gani? Ana sifa zipi zaidi ya Hans? Kwa nn Mpira wa Tanzania upo kwenye msiba mzito!!!
Sent using Jamii Forums mobile app
So kwa huyu Lwandamina walizingatia vigezo gani vya kutuaminisha kwamba ni Mwl sahihi wa kuivusha Yanga?Walisema uwezo wake umeishia pale hana mbinu mpya tena za kuivusha yanga zaidi ya pale.
Una Akili sana weweHuo ndiyo ukweli, yaani nikisema upenzi wa soka bila kutaja yanga sioni maana ya soka.
Yanga ina mipango ya muda mrefu na ya mfupi, ina viongozi wenye shule na IQ kubwa tofauti na 7up fc, hukubali makosa na kujirekebisha, siyo wa binafsi, wanajua kulea wachezaji, wa najua mashabiki wanataka nn.
Kuniambia nihame yanga nikama kunitaka nihame kabila langu.
Ukitaka raha njoo yanga, ukitaka mume muelewa olewa na mpenzi wa yanga , ukitaka mke mzuri, mwenye sifa za wife material oa shabiki wa kike wa yanga.
Mtaa wa pili utakutana na waimba taarabu , wacheza vigodoro na wanaume suruali. Njoo Yanga upate raha.
Unashindwa kuelewa wapi ndugu?So kwa huyu Lwandamina walizingatia vigezo gani vya kutuaminisha kwamba ni Mwl sahihi wa kuivusha Yanga?
Sent using Jamii Forums mobile app
Basi nimekuelewa ndugu,kwa hyo Lwandamina ndio dawa ya kuwafunga waarabu eti!? Basi tusubiri waarabu waje.Unashindwa kuelewa wapi ndugu?
Nimekwambia wamemchukua kwa kigezo cha kumfunga mwarabu.
Ndivyo walivyokuwa wanajiaminisha.Basi nimekuelewa ndugu,kwa hyo Lwandamina ndio dawa ya kuwafunga waarabu eti!? Basi tusubiri waarabu waje.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ulikua hujalijua hilo! Hilo ni mbumbumbu...Bilashaka wewe ni 7up fc