Soma uzi kwa mara nyingine tena, uelewe kipi kinazungumziwa kwenye huu uzi.Bado hoja zako hazijibu hali halisi ya kwamba Yanga ifanye nn kuvunja rekodi ya pointi 2 za miaka ile. Nadhani hiyo ndio hoja ya msingi kuliko kuzungumzia timu hiyo unayoita yenu ambayo haipo kwenye mashindano haya
Mwenzako muelewa.Mwanasimba uzungumzie ya Yanga..na wenyewe Yanga wazungumzie nini...mmmmh!
Hahahaaa!!!...ndoo ya maji.Hapo kwa Mungu.. umechemsha.. Na inshu ni kama uzoefu, kamwe Leicester City wasingechukua EPL.
Mwanamsimbazi mwenzangu kwanini unakua mnyonge????
Simba tunauzoefu Mkubwa sana katika michuano ya Kimataifa..
Kamwe usiwe mnyonge na haya mapito tunayopitia.. Punde tutarejea kwenye kitu chetu.. Lini? Anajua Mungu aliyepanga Simba iwe timu ya kwanza kubeba ndoo ya michuano mikubwa katika miaka ya usoni.
Kama kweli Yanga inabebwa kama unavyodai, kuna haja gani ya Simba kubadilisha karibu Timu nzima? Mabadiliko hayo yataisaidiaje Simba kuifanya Yanga isibebwe? Au imeshaongea na TFF na kupewa masharti ya kusajili upya ndipo upepo wa kupendelewa uhamie kwa Simba? Kauli yako ya utetezi inasutwa na matendo ya Simba kwenye usajili.Simba itachukuaje ubingwa wakati Tff na Marefa woote wanataka Yanga ishinde tu,,
Kila mechi lazima ipewe penati au timu pinzani ichapwe red Card,,
Huku kwenye makundi ujinga huu hakuna,, kwa kuionea sn Simba ndiyp maana ikienda huko inapasua sn.