lil wayne
JF-Expert Member
- Apr 15, 2016
- 992
- 904
- Thread starter
- #41
Soma uzi kwa mara nyingine tena, uelewe kipi kinazungumziwa kwenye huu uzi.Bado hoja zako hazijibu hali halisi ya kwamba Yanga ifanye nn kuvunja rekodi ya pointi 2 za miaka ile. Nadhani hiyo ndio hoja ya msingi kuliko kuzungumzia timu hiyo unayoita yenu ambayo haipo kwenye mashindano haya