Haka ni kautabiri kadogo, na wote tuseme I RECEIVE PAPAABaada ya kuingia 16 bora, atacheza na Australia halafu kwenye robo fainali atakutana na mshindi kati ya Uholanzi na Marekani.
Hapo Argentina wanawaza watakutana na nani kwenye nusu fainali maana hakuna timu yoyote ya kuwasumbua katika hizo tajwa hapo juu.
Kiutani namna hii Argentina anakwenda kubeba kombe la dunia 2022.
WOZA 2010,mechi ya kwanza ya Spain alifungwa 0-1 na Switzerland lakini fainali ikawa kati ya Spain na Netherland,matokeo ikawa 1-0 Spain akatwaa ubingwa na kuwa nchi pekee iliyotwaa ubingwa wa Dunia katika ardhi ya bara la Afrika.Alipigwa na Saudi Arabia kwa hiyo sio rahisi kama unavyowaza.
Huwezi kukaba dk 90! Sio kwa Argentina hii.Mind you hakuna team ya kuizuia Argentina WC hii labda Brazil ndo anaewaza mpa game tough.Hizo timu hazitabiriki, Argentina anaweza kamiwa aotewe goli moja lisirudi mpaka mpira uishe.
Tulia WEWE mambo bado SanaBaada ya kuingia 16 bora, atacheza na Australia halafu kwenye robo fainali atakutana na mshindi kati ya Uholanzi na Marekani.
Hapo Argentina wanawaza watakutana na nani kwenye nusu fainali maana hakuna timu yoyote ya kuwasumbua katika hizo tajwa hapo juu.
Kiutani namna hii Argentina anakwenda kubeba kombe la dunia 2022.
Rejea Nawapongeza Senegal kwa Kufuzu Hatua ya 16 bora Kombe la Dunia 2022
Hapa umepotosha kwa makusudi maana matokeo yalikuwa 4-3. Huko sio kupigwa huku wamesimama.Kamuuliza Argentina alifanywa nin na ufaransa kombe la dunia 2018 pigwa goli 4 Kama wamesimama kudadekiii toka siku hio mess hakunyoa ndevu mpaka leo [emoji3][emoji3][emoji3]....
Hao midebwedo Argentina wakikutana na ufaransa Tena watajuta kuzaliwa ....
Hujui mpira weweHuwezi kukaba dk 90! Sio kwa Argentina hii.Mind you hakuna team ya kuizuia Argentina WC hii labda Brazil ndo anaewaza mpa game tough.
ndio maana nakwambia hujui mpiraTimu zinazoweza kumsumbua Argentina ni Spain, France na Brazil. Kwa zile za kupaki mabasi haipo ya kumpa shida labda ingekuwa ile Greece ya 2004.
Takwimu za kila mechi huyo de Paul ndio anaongoza kutoa pasi mbovu na kupoteza mipira.ndio maana nakwambia hujui mpira
mpira umebadilika sana sio kama unavyofikiria
Kama haujui mimi ni shabiki wa Messi sana
ila ili uchukue ubìngwa unahitaji akina de paul wengi kuliko akina di maria na lautaro
watu wataokimbia dk 90 bila kuchoka bila kutegea
hao wabrazili wakikutana na timu iliyosetiwa vizuri hawatoki jino moja
kama uliwaona uswizi ilibidi watu wokoe jahazi kutoka nyuma
mchezaji bora kwa argentina muda huu ni de paul
I recieve papaaa 😀 😀Haka ni kautabiri kadogo, na wote tuseme I RECEIVE PAPAA
Raha sana, maisha ya ulokole ni stress free, labda uanze kutegemea miujiza ndio utakuwa disappointedI recieve papaaa 😀 😀
Hahaha una risivu tuu bila kuonaRaha sana, maisha ya ulokole ni stress free, labda uanze kutegemea miujiza ndio utakuwa disappointed
Kwani hasara shingapi? Si kupanda mbegu tu? Napanda sitegemei kuvuna. Ni kama kulima Big G , siku mti ukiota unaenda kutoa ushuhuda, mtumeeee kuna miuujizaaa........ Nini kimetokea??? Nililima Big G zimeota, nitaleta mavuno kanisani, na malimbuko.Hahaha una risivu tuu bila kuona