Naipongeza Argentina ya Lionel Messi kwa kufikia Nusu Fainali ya Kombe la Dunia 2022

Naipongeza Argentina ya Lionel Messi kwa kufikia Nusu Fainali ya Kombe la Dunia 2022

Kwani hasara shingapi? Si kupanda mbegu tu? Napanda sitegemei kuvuna. Ni kama kulima Big G , siku mti ukiota unaenda kutoa ushuhuda, mtumeeee kuna miuujizaaa........ Nini kimetokea??? Nililima Big G zimeota, nitaleta mavuno kanisani, na malimbuko
Hahahhah
 
Kamuuliza Argentina alifanywa nin na ufaransa kombe la dunia 2018 pigwa goli 4 Kama wamesimama kudadekiii toka siku hio mess hakunyoa ndevu mpaka leo [emoji3][emoji3][emoji3]....

Hao midebwedo Argentina wakikutana na ufaransa Tena watajuta kuzaliwa ....
Wanakutana wapi sasa?
 
Kamuuliza Argentina alifanywa nin na ufaransa kombe la dunia 2018 pigwa goli 4 Kama wamesimama kudadekiii toka siku hio mess hakunyoa ndevu mpaka leo [emoji3][emoji3][emoji3]....

Hao midebwedo Argentina wakikutana na ufaransa Tena watajuta kuzaliwa ....
We jamaa kmmk nimejikuta na[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]toka siku hiyo mess hajanyoa ndevu Mpaka leo
 
Kamuuliza Argentina alifanywa nin na ufaransa kombe la dunia 2018 pigwa goli 4 Kama wamesimama kudadekiii toka siku hio mess hakunyoa ndevu mpaka leo [emoji3][emoji3][emoji3]....

Hao midebwedo Argentina wakikutana na ufaransa Tena watajuta kuzaliwa ....

Argentina ya kipindi kile ilikua mbovu napo France walishinda kwa 4-3
 
We jamaa kmmk nimejikuta na[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]toka siku hiyo mess hajanyoa ndevu Mpaka leo
Mkuu ndio sababu ya mess kuwa na mandevu ,NI kipigoo cha mbwa Koko kutoka Kwa ufaransa kombe la dunia 2018 ....

Mess alikuwa hana ndevu kabisa Kama Ronaldo unavomuona Sasa hivi ...
 
Nawaangalia nacheka tu matokeo ni kwamba Argentina akifanikiwa kuzidi 16 bora basi hakatizi Robo fainali ni kama ilivyo Kwa waingereza, Spain pia huyo hata 16 inaweza kuwa ngumu kwake kukatiza!

Ufaransa atakatiza ila anachinjwa Nusu Fainali Utashangaa Fainali anaingia Kigogo mmoja na ka timu ambako hamkutegemea!

Nawaambia tena nchi hizi nimeziona na madhaifu yake, Timu zilizokuwa zinatisha ni Serbia na Switzerland pia hata Senegal wanatisha japo si wa kuwahesabia Kwenda Fainali !!!

Nasimama na Brazil hadi sasa naona wana weza wakafika mbali wakipunguza Ubishoo
 
Nawaangalia nacheka tu matokeo ni kwamba Argentina akifanikiwa kuzidi 16 bora basi hakatizi Robo fainali ni kama ilivyo Kwa waingereza, Spain pia huyo hata 16 inaweza kuwa ngumu kwake kukatiza!

Ufaransa atakatiza ila anachinjwa Nusu Fainali Utashangaa Fainali anaingia Kigogo mmoja na ka timu ambako hamkutegemea!

Nawaambia tena nchi hizi nimeziona na madhaifu yake, Timu zilizokuwa zinatisha ni Serbia na Switzerland pia hata Senegal wanatisha japo si wa kuwahesabia Kwenda Fainali !!!

Nasimama na Brazil hadi sasa naona wana weza wakafika mbali wakipunguza Ubishoo
Itakuwa umeanza kuangalia kombe la dunia miaka ya hivi karibuni. Hili ni kombe la dunia la saba naliangalia na ninakuambia bingwa atakuwa Argentina. Sio kwamba wana wachezaji wazuri sana ila timu yao ni nzuri.

Brazil wanao wachezaji wazuri sana ila hawana timu. Watatolewa wakikutana na ufaransa au Spain ila kama wakivuka mpaka fainali basi kama kawaida Argentina atawafunga kama alivyofanya mwaka jana kwenye Copa America.

Uingereza anaweza kutolewa na Senegal kwasababu waingereza wana maneno mengi kuliko mpira. Ila hapo kwa uswisi na Serbia naona utakuwa umekosea, hizo timu zipo tactical sana lakini sio timu za kutisha inapokuja kwenye kushambulia.
 
Kamuuliza Argentina alifanywa nin na ufaransa kombe la dunia 2018 pigwa goli 4 Kama wamesimama kudadekiii toka siku hio mess hakunyoa ndevu mpaka leo [emoji3][emoji3][emoji3]....

Hao midebwedo Argentina wakikutana na ufaransa Tena watajuta kuzaliwa ....
France hii iliyochapwa na Tunisia haiwezi kumzuia Argentina ,

Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
 
Kamuuliza Argentina alifanywa nin na ufaransa kombe la dunia 2018 pigwa goli 4 Kama wamesimama kudadekiii toka siku hio mess hakunyoa ndevu mpaka leo [emoji3][emoji3][emoji3]....

Hao midebwedo Argentina wakikutana na ufaransa Tena watajuta kuzaliwa ....
Ukisema alifungwa goli nne ukaishia hapo unakuwa upo subjective na sio objective.

Sema alifungwa goli 4 kwa 3 it means nayeye alipambana hakutoka kizembe na usisahau kizazi kile cha France kilikuwa golden kuliko hiki
 
Itakuwa umeanza kuangalia kombe la dunia miaka ya hivi karibuni. Hili ni kombe la dunia la saba naliangalia na ninakuambia bingwa atakuwa Argentina. Sio kwamba wana wachezaji wazuri sana ila timu yao ni nzuri.

Brazil wanao wachezaji wazuri sana ila hawana timu. Watatolewa wakikutana na ufaransa au Spain ila kama wakivuka mpaka fainali basi kama kawaida Argentina atawafunga kama alivyofanya mwaka jana kwenye Copa America.

Uingereza anaweza kutolewa na Senegal kwasababu waingereza wana maneno mengi kuliko mpira. Ila hapo kwa uswisi na Serbia naona utakuwa umekosea, hizo timu zipo tactical sana lakini sio timu za kutisha inapokuja kwenye kushambulia.
@Excute nipo Argentina boss kama wewe ila naona unajiamini hadi unanitia hamasa
 
Kamuuliza Argentina alifanywa nin na ufaransa kombe la dunia 2018 pigwa goli 4 Kama wamesimama kudadekiii toka siku hio mess hakunyoa ndevu mpaka leo [emoji3][emoji3][emoji3]....

Hao midebwedo Argentina wakikutana na ufaransa Tena watajuta kuzaliwa ....

We mwache na mahaba yake ya Messi mkojo wa Punda anayebebwa na kina Mbappe pale PSG
 
Huwezi kukaba dk 90! Sio kwa Argentina hii.Mind you hakuna team ya kuizuia Argentina WC hii labda Brazil ndo anaewaza mpa game tough.
Mbona Saudia alifunga Argentina..?? Mpira haupo hivyo..Jambo la msingi ni kuwaombea wapate matokeo mazuri ili wafanikishe malengo Yao Ila kusema hakuna team ya kuwazuia ni uongo mpira Una maajabu yake.
 
We mwache na mahaba yake ya Messi mkojo wa Punda anayebebwa na kina Mbappe pale PSG
hivi wewe unaangalia mpira au una ujinga wako kichwani ?
 
Back
Top Bottom