Naipongeza Argentina ya Lionel Messi kwa kufikia Nusu Fainali ya Kombe la Dunia 2022

Leo Messi anastruggle but it's a blessing cuz timu inacheza kama unit bila kumtegemea mtu mmoja, naamini ataregain form.
 
@Excute nipo Argentina boss kama wewe ila naona unajiamini hadi unanitia hamasa
Timu ya ubingwa ni Argentina, wanacheza mpira wa watu wazima.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…