Securelens
JF-Expert Member
- Sep 28, 2020
- 316
- 541
Kwa mjibu wa taarifa kutoka vyombo mbalimbali vya habari zikiwemo ITV, AZAM, CHANNEL 10, TBC na Online TVs karibu kila kona ya Tanzania zoezi la upigaji kura limeenda vizuri na kasoro nyingi zilizozoeleka kufanyika mwaka huu hazikuonekana na upigaji kura ulifanyika kwa amani na utulivu.
Nawapongeza NEC kwa hatua hii, kamilisheni hatua zilizosalia pia kwa uweledi. Nawaomba watanzania tupuuze madai machache yanayodai kupigwa kwa kura feki.
Kwa utaratibu wa kura za mwaka huu kila kura inayopigwa lazima serial number yake irekodiwe mbele ya mawakala wote. Hivyo hakuna namna kura feki inaweza kupigwa na isionekane wakati wa kulinganisha kura zilizopigwa na zile zenye serial numba zilizorekodiwa. Hivyo tuzipuuze.
Nawapongeza NEC kwa hatua hii, kamilisheni hatua zilizosalia pia kwa uweledi. Nawaomba watanzania tupuuze madai machache yanayodai kupigwa kwa kura feki.
Kwa utaratibu wa kura za mwaka huu kila kura inayopigwa lazima serial number yake irekodiwe mbele ya mawakala wote. Hivyo hakuna namna kura feki inaweza kupigwa na isionekane wakati wa kulinganisha kura zilizopigwa na zile zenye serial numba zilizorekodiwa. Hivyo tuzipuuze.