Mkubwa ndevu
JF-Expert Member
- Feb 17, 2011
- 1,045
- 358
Umewekeza kwenye teknolojiaJina sibadili na harakati zinaendelea mpaka Africa ijikomboe kiuchumi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umewekeza kwenye teknolojiaJina sibadili na harakati zinaendelea mpaka Africa ijikomboe kiuchumi
Roma haikujengwa siku moja. Mdo mdo tutafika tu!Umewekeza kwenye teknolojia
Ila wew jamaaa, cheo unakitafuta aisee naomba Mungu upate uteuzi awamu hii hata yakudeki kule kinyerezi maana unapambana sana na kujitoa akili robo iliyokuwa imebakiaNaunga mkono hoja, uchaguzi huu umeendeshwa vizuri sana, ilikuwa ni uchaguzi huru na wa haki. Atakashinda, ameshinda kwa haki na halali na aliyeshindwa, ameshindwa kwa haki. Mshindwa ampongeze mshindi, maisha yaendelee.
P
Lawama zote kwenu na mgombea wenu kwa kukosa kitu cha maana cha kutushawishi wananchi tuwapigie kura.Mushashinda nchi ya chama kimoja twendeee tukasage meno
Onesha mkakati wa kuwekeza kwenye teknolojia uko wapi toka tupate uhuru na umezalisha nini kwenye teknolojiaRoma haikujengwa siku moja. Mdo mdo tutafika tu!
Wewe unacho hospitali bureLawama zote kwenu na mgombea wenu kwa kukosa kitu cha maana cha kutushawishi wananchi tuwapigie kura.
Mi nadhani tunahitaji elimu zaidi ya tunavyohitaji uongozi. Yaani kwa mchakato mzima huu mtu mwenye akili timamu lazima aone aibu kupongeza NEC kwa uchaguz wa huru na haki. Anyway, naona njaa ni tatzo pia😚Siasa! Siasa! Siasa!
Kabisa....kinachofurahisha ni kwamba kama namba tunaisoma wote😂Mushashinda nchi ya chama kimoja twendeee tukasage meno
😂😂😂Ila wew jamaaa, cheo unakitafuta aisee naomba Mungu upate uteuzi awamu hii hata yakudeki kule kinyerezi maana unapambana sana na kujitoa akili robo iliyokuwa imebakia
Sent using Jamii Forums mobile app
Pale bungen itakuwa akitakacho magu ndicho chafanyika...Mushashinda nchi ya chama kimoja twendeee tukasage meno
Uliingia mwanzoni au katikati?Nilikua wakala wa kituo idadi ya kura ya mgombea udiwani na uraisi ni tofauti wakati kila mpiga kura alipewa karatasi sawa..
Akuna Uhuru msijidanganye!