tuusan
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 17,972
- 20,221
Hatua ya per capital $1800? We ni mgonjwa tu hujielewhawa watu hawaamini kuwa KE imepiga hatua hivi. Kazi yao ni kuangalia mambo kidogo ambayo hayaendi vizuri.
Ni vile tu MOI alikula KE miaka 24, saa hii hatungekuwa hata tunajibizana hapa na Wana Bongo