TYWIN LANNISTER
JF-Expert Member
- Oct 31, 2018
- 854
- 209
Leta hyo electric rail tuone kama inafanya kaziWapi nimesema electric train, hyo nitasema muda c mrefu kuanzia sasa na hutokuwa na jibu ambavyo umeshindwa kuwa na jibu la electric railways [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Hahhahahaaa alafu Tony254 anasema WaTz huwa hatukubali kila kitu, haya njoo uone mkenya mwenzako anavyopambana na ukweli [emoji3][emoji3][emoji3]Leta hyo electric rail tuone kama inafanya kazi
Nangoja kuona indoor arena ya Tanzania, na usisahau pia kutuonyesha your Aquatic stadium and not swimming pool π€£ π€£ π€£Hahhahahaaa alafu Tony254 anasema WaTz huwa hatukubali kila kitu, haya njoo uone mkenya mwenzako anavyopambana na ukweli [emoji3][emoji3][emoji3]
Sasa kama unatuletea swimming pool and you call it aquatic center unataka tukubali tu?Hiyo ndiyo shida yenu mkiomba kitu tuwaoneshe from Tanzania mnakataa eti mnataka kiwe na jina km la kitu chenu ila cc tukiwaomba muoneshe kitu ambacho cc tunacho ila kwenu hakipo huwa mnakosa hata render, and that is the difference [emoji3][emoji3][emoji3]
Unachange gear angani au co[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Nangoja kuona indoor arena ya Tanzania, na usisahau pia kutuonyesha your Aquatic stadium and not swimming pool [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787]
Na ndiyo maana nikasema cc tukiweka kitu chetu nyie huwa hata render hamna ila cc vipo [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Sasa kama unatuletea swimming pool and you call it aquatic center unataka kukubali tu?
Kwani ushaogopa? π€£ π€£ π€£ Mbona ukiambiwa ulete Aquatic stadium ya Tanzania unalia? Pia nangoja utuonyeshe indoor Arena na underpass road.Unachange gear angani au co[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Kwa hivyo ushakubali hamna aquatic center na indoor arena? Twende tu taratibuNa ndiyo maana nikasema cc tukiweka kitu chetu nyie huwa hata render hamna ila cc vipo [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Venye unaongea ni dalili kuwa ushakubali kimoyo moyo kuwa hamna Aquatic Stadium hata kama hutaki kusema.π€£π€£Na ndiyo maana nikasema cc tukiweka kitu chetu nyie huwa hata render hamna ila cc vipo [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Ashakimbia huyo, atarudi hapa tukishalog off.Kwa hivyo ushakubali hamna aquatic center na indoor arena? Twende tu taratibu
Now imagine that every hour in phase 1. Then every thirty minutes in phase 2Those are 300cars or 60 small Matatus or 20 big Matatus of the road per trip!
My observation too! ππ hawa watatu; ichoboy01, Naton Jr na The best 007 are somewhat immature! Nikama hawana proper exposure and they have low intellectual capacity, reasoning yao ni eti Tz iko juu ya Kenya like seriously! So watatafuta anything ata iwe irrelevant kama slums or something negative ili ionekane Tz is betterπππ but facts huwa zinawaumbuaππ hawa ni Dar diehards, expose how Dar is way below Nairobi wanashikwa na hasira deadly. Congrete facts na evidence from reputable bodies kama akina imf, world bank, AFDB, na uongeze video Drone views umewamaliza! Wanakosa jibu kabisaa! ni vipicha tu on different angles wata post na views za kupendeza to create a deceptive illussion.ππππ waelewe tu.Huyo The best 007 huwa hakubali kushindwa. Lazima yeye ndio ashinde kwa sababu anajiona yuko perfect. Nimemsoma kwa muda mrefu. Sijawahi kuona siku hata moja akikubali kwamba hakuwa anajua jambo fulani au kwamba amejifunza jambo fulani kutoka kwa Wakenya. La. Yeye likija kwenye debate, utamuekea hadi evidence kutoka world bank na atapinga tu. Sasa nimemuekea evidence kutoka bodi ya serikali na bado anapinga. Huyo na Naton Jr hakuna haja ya kudebate nao maana unapoteza muda wako tu. Huwa nikidebate na Geza Ulole au joto la jiwe angalau hao wanaweza kukubali kuwa hawakuwa wanafahamu jambo fulani halafu debate inaisha. Mimi pia huwa nakubali kama sikuwa najua jambo fulani halafu debate inaisha. Mimi sio genius kwa hivyo ikiwa sijui jambo fulani basi nakubali tu na debate inaisha. Lakini kupingana na mtu mwenye anajiona yuko right wakati wote ni majanga. Huwa ninaangalia ni watu gani ninadebate nao hapa maana wengine watanipotezea muda tu na hata baada ya kung'ang'ana kutafuta evidence mtandaoni bado watabaki kuamini wanachotaka. Hio ni kazi bure and time is precious. I only deal with the reasonable Tanzanians who can admit when they are wrong. But hao wazimu ambao hawaezi kubali kuwa wamekosea, hao sina haja nao. ichoboy01 pia yuko katika kundi hili la watu wasioweza kukubali kushindwa japo evidence ni ya world bank au halmashauri ya serikali.
Hao watatu Naton Jr ichoboy01 na The best 007 nimewasoma kutoka zamani nikajua napoteza muda wangu tu. Kwanza niliwachorea wakati niliweka data from world bank kuhusu electrification rates in Africa yenye inaonyesha Seychelles iko na 100% electrification rate na Tanzania iko na 35% halafu ng'ombe inataka kupinga report ya world bank by quoting the words of their minister. Hapo ndio nilijua kuna watu shallow sana kwenye hii forum. Wanapinga ripoti ya benki ya dunia kwa kuniletea matamshi ya waziri wao. Kama hawezi kubali wakati amekosea au wakati amejifunza jambo jipya basi huyo sio mtu wa kudebate naye. Debate inataka mtu ambaye anakufunza jambo na wewe unamfunza jambo. Lakini sio huu upuzi wa kupoteza muda going round in circles or as they say "chasing the wind". Chasing your own tail in circles like a dog is not very wise. Time is precious and I am here to learn not to argue. I have learnt alot of things here but only because I chose whom to debate with.My observation too! ππ hawa watatu; ichoboy01, Naton Jr na The best 007 are somewhat immature! Nikama hawana proper exposure and they have low intellectual capacity, reasoning yao ni eti Tz iko juu ya Kenya like seriously! So watatafuta anything ata iwe irrelevant kama slums or something negative ili ionekane Tz is betterπππ but facts huwa zinawaumbuaππ hawa ni Dar diehards, expose how Dar is way below Nairobi wanashikwa na hasira deadly. Congrete facts na evidence from reputable bodies kama akina imf, world bank, AFDB, na uongeze video Drone views umewamaliza! Wanakosa jibu kabisaa! ni vipicha tu on different angles wata post na views za kupendeza to create a deceptive illussion.ππππ waelewe tu.
Hao watatu Naton Jr ichoboy01 na The best 007 nimewasoma kutoka zamani nikajua napoteza muda wangu tu. Kwanza niliwachorea wakati niliweka data from world bank kuhusu electrification rates in Africa yenye inaonyesha Seychelles iko na 100% electrification rate na Tanzania iko na 35% halafu ng'ombe inataka kupinga report ya world bank by quoting the words of their minister. Hapo ndio nilijua kuna watu shallow sana kwenye hii forum. Wanapinga ripoti ya benki ya dunia kwa kuniletea matamshi ya waziri wao. Kama hawezi kubali wakati amekosea au wakati amejifunza jambo jipya basi huyo sio mtu wa kudebate naye. Debate inataka mtu ambaye anakufunza jambo na wewe unamfunza jambo. Lakini sio huu upuzi wa kupoteza muda going round in circles or as they say "chasing the wind". Chasing your own tail in circles like a dog is not very wise. Time is precious and I am here to learn not to argue. I have learnt alot of things here but only because I chose whom to debate with.
we jamaa una kichaa.sio bureRuka kokote uwezapo lakini ngoma bado imelalia hapa bro π π π
Huchomoki kwenye hii blowing fact kwamba umeme ni Nairobi tu
View attachment 1617568
Sisi tunajenga BRT, hao hawana commuter rail. Make it as simple as that.
Hawa waluga luga wa wapi??? mbona zipo tokea Kikwete ni rais, zinaitwa treni za Mwakyembe, ziko mda mrefu sanaNyie hamna commuter rail na sisi hatuna BRT. Kubali yaishe.