The best 007
JF-Expert Member
- Oct 6, 2019
- 41,015
- 93,277
Kitu yenye ilikuwa izinduliwe mwaka uliopita tuitazame progress yake kwa nini? Posti wakati imekamilika tutaitazamaNaombeni Wakenya mpite hapa kmy kmy, mlikuwa mnataka progress haya hii hapa ya October[emoji116][emoji116]
Kwn ni nani alikuambia ilikuwa ni lazima izinduliwe mwaka uliopita?Kitu yenye ilikuwa izinduliwe mwaka uliopita tuitazame progress yake kwa nini? Posti wakati imekamilika tutaitazama
Haha ni utani tu. Mimi huwa nazitazama kabla yako. Mimi nilisubscribe kwa Reli TV youtube mwaka uliopita na Yapi Merkezi. Wakitoa video napata notification. Kungu Kadogosa unamfahamu? Na yule mwanahabari aliyechangamka Ben Mwanantala pia namfahamu ila siku hizi hayupo sijui ameenda wapi.Kwn ni nani alikuambia ilikuwa ni lazima izinduliwe mwaka uliopita?
Yupo km kawa [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Haha ni utani tu. Mimi huwa nazitazama kabla yako. Mimi nilisubscribe kwa Reli TV youtube mwaka uliopita na Yapi Merkezi. Wakitoa video napata notification. Kungu Kadogosa unamfahamu? Na yule mwanahabari aliyechangamka Ben Mwanantala pia namfahamu ila siku hizi hayupo sijui ameenda wapi.
Bandari ya mombasa sasa iko na capacity ya 2.5 million teus, hakuna bandari east and central africa inafikia hiyo. Bada ya upanuzi ya phase 2 container terminal Mombasa itakuwa na capacity ya 3.5 million teus.Nyie mnapanua bandari cc tushapanua yetu na tunajenga nyingine mpya kule Kigoma, mtwara, tanga n.k, tunajenga meli nyingi ziwani na baharini, tumejenga ferries nyng mno, stands za kutosha nchi nzima, roads ndo usiniambie kila siku mnaona humu, ndege mpya za abiria na mizigo zitaingia soon mtaziona, mabwawa ya umeme co tu JNHP nadhani mnafahamu, vituo vya afya kila kona ngj cku nijitoe ufahamu nipige picha vituo vichache vya afya km 10 ili nikupe direction uelewe namaanisha nn cz hvyo vituo vya afya tulivyojenga kwenu ni hospitali kamili, pia tumejenga hospitali nyingi mno mno yn ukisikia Magu kapita kwa kishindo juwa tunamaanisha, yn development is everywhere nashindwa kuandika hapa nitajaza page, itoshe tu kusema mjipange kushindana na Tz iko level ya peke yake km mnabisha Subiri reports mpya ziwe zinatoka, c mnakumbuka ile ya dollar millionaires? Basi ile ndiyo iwape taswira ni wapi Tz inaelekea [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Na ukumbuke hiyo ya mombasa sio lamu port ambayo berth za kwanza tatu zimekamilika na iko na capacity kubwa bado ya 1.5 million teus (Dar bado ni ndogo kwa lamu port). Yani bado port zenyu zote bado hazifikii port ya Lamu ambayo phase 1 imemalizwa tu miezi 4 iliyopita.Nyie mnapanua bandari cc tushapanua yetu na tunajenga nyingine mpya kule Kigoma, mtwara, tanga n.k, tunajenga meli nyingi ziwani na baharini, tumejenga ferries nyng mno, stands za kutosha nchi nzima, roads ndo usiniambie kila siku mnaona humu, ndege mpya za abiria na mizigo zitaingia soon mtaziona, mabwawa ya umeme co tu JNHP nadhani mnafahamu, vituo vya afya kila kona ngj cku nijitoe ufahamu nipige picha vituo vichache vya afya km 10 ili nikupe direction uelewe namaanisha nn cz hvyo vituo vya afya tulivyojenga kwenu ni hospitali kamili, pia tumejenga hospitali nyingi mno mno yn ukisikia Magu kapita kwa kishindo juwa tunamaanisha, yn development is everywhere nashindwa kuandika hapa nitajaza page, itoshe tu kusema mjipange kushindana na Tz iko level ya peke yake km mnabisha Subiri reports mpya ziwe zinatoka, c mnakumbuka ile ya dollar millionaires? Basi ile ndiyo iwape taswira ni wapi Tz inaelekea [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Ww kumbe bado unaota, huo ufala ulikuwa unafanyika enzi za Kikwete co Magufuli, yn kwa ss meli kubwa zinatia nanga bandari ya salama direct tofauti na huo ufala uliosema hapa, ww subiri impact yake soon bwege ww [emoji3][emoji3]Na ukumbuke hiyo ya mombasa sio lamu port ambayo berth za kwanza tatu zimekamilika na iko na capacity kubwa bado ya 1.5 million teus (Dar bado ni ndogo kwa lamu port). Yani bado port zenyu zote bado hazifikii port ya Lamu ambayo phase 1 imemalizwa tu miezi 4 iliyopita.
Meli ya kwanza (post panamax) ya Mearsk itafika hapo lamu mwezi wa december 2020, kisha ipakie mizigo kwa meli ndogo(Panamax) ya kuenda mombasa na djibouti, alafu mombasa iweke kwa meli ndogo ya kuja dar.
Kitu yenye ilikuwa izinduliwe mwaka uliopita tuitazame progress yake kwa nini? Posti wakati imekamilika tutaitazama
Since jakaya kikwete hadi waleo haijawahi jengwa🤣Oneni wenzenu tunavyo take off, ona mradi hapa chini ni msimbazi valley tunakwenda kuifanya Eden ndogo, Wakenya oneni WaTz tunavyotumia Elimu kutukomboa [emoji116][emoji116][emoji3][emoji3]View attachment 1624689View attachment 1624690View attachment 1624691
Ngj uone ss, nitapost picha za ujenzi humu mtaanza kulalamika eti mbn inachelewa [emoji3][emoji3]Since jakaya kikwete hadi waleo haijawahi jengwa[emoji1787]
Show us existing structures and projects. Tumechoka na Tuta-Oneni wenzenu tunavyo take off, ona mradi hapa chini ni msimbazi valley tunakwenda kuifanya Eden ndogo, Wakenya oneni WaTz tunavyotumia Elimu kutukomboa [emoji116][emoji116][emoji3][emoji3]View attachment 1624689View attachment 1624690View attachment 1624691
Show us progress on the ground not delusionsOneni wenzenu tunavyo take off, ona mradi hapa chini ni msimbazi valley tunakwenda kuifanya Eden ndogo, Wakenya oneni WaTz tunavyotumia Elimu kutukomboa [emoji116][emoji116][emoji3][emoji3]View attachment 1624689View attachment 1624690View attachment 1624691
Hakuna Mkenya hata mmoja anayataka tufanane na Tz. Stop flattering yourself.Ushatii, msifosi tufanane cc tunajenga electric sgr yny zaidi ya km2500 mnataka tufanane [emoji3][emoji3][emoji3]