The best 007
JF-Expert Member
- Oct 6, 2019
- 41,015
- 93,277
Huwa hawapendi ukweli sijui wamesoma shule gn hawa watu, sisi ndiyo tulianza kuwa juu enzi za Mwl. Nyerere lkn wakatupita na tukakubali ss leo tumerudi kwenye namba yetu wanabwata wanajifanya hawajui kwmb namba huwa zinabadilika so ukilala mwenzio anakupita.Ruka kokote uwezapo lakini ngoma bado imelalia hapa bro [emoji28][emoji28][emoji28]
Huchomoki kwenye hii blowing fact kwamba umeme ni Nairobi tu
View attachment 1617568
Mm cna wasi wasi kabisa cz baada ya miaka 3 kuanzia sasa kila kitu kitakuwa open na hawatakuwa na la kuongea.