Nairobi Commuter Rail Phase 1 Progress

Nairobi Commuter Rail Phase 1 Progress

Elimu Elimu Elimu, imetusaidia sana cc WaTz, ona watu tumekuwa na commuter train miaka mingi iliyopita na wala rais hajawahi kuzindua cz ni kitu cha kawaida mno na ni haki ya mwananchi, yn kabla ya Magu kuwa president watu tuko na ustaarabu huu, ona matumizi sahihi ya Elimu yalivyomkomboa mTz [emoji116][emoji116][emoji3][emoji3]
tapatalk_1605014055211.jpeg
tapatalk_1605014064620.jpeg
tapatalk_1605014079527.jpeg
 
Ona elimu inavyoshindwa kumkomboa mkenya yn daraja ni la watembea kwa miguu ila boda boda ndo njia yake na ndiyo maana wakenya hawajawahi kustaarabika
tapatalk_1604949147000.jpeg
 
Ukimaliza kusoma nenda kajinyonge [emoji116][emoji116][emoji3][emoji3]

LOWER MIDDLE INCOME STATUS., ya how much? Data please....😂😂😂 just at the door, yaani tail end of it.
 
BRT ni ndoto nyingine ya kutisha (nightmare)kwa wakenya kama wewe[emoji23][emoji23][emoji23].

commuter unayozungumzia ni gani,kama kazi iliyopo ni kununua locomotives mtumba na kupaka rangi kama mlivyofanya[emoji23][emoji23]

tukitaka hiyo hata kesho mtaziona zikiwa na bendera ya tz,na hatutaji hiyo.
Hamna reli ya kutosha hapo Dar kama sisi. Mna reli kidogo sana hapo Dar. Hio ndio sababu ya nyie kutonunua commuter trains. Endeleeni kupanda basi tu. Hamna namna.
 
Endelea kupiga kelele za gdp mana c ndo mnakula gdp, cc tunatoboa hata waweke negative but haitaondoa ukweli kwamba ndiyo Super power hapa EA utake usitake [emoji3][emoji3][emoji3]
Nyie ndio super power hapa EA. Hahaha. You are a comedian my brother
 
Elimu Elimu Elimu, imetusaidia sana cc WaTz, ona watu tumekuwa na commuter train miaka mingi iliyopita na wala rais hajawahi kuzindua cz ni kitu cha kawaida mno na ni haki ya mwananchi, yn kabla ya Magu kuwa president watu tuko na ustaarabu huu, ona matumizi sahihi ya Elimu yalivyomkomboa mTz [emoji116][emoji116][emoji3][emoji3]View attachment 1623992View attachment 1623995View attachment 1623997
Sisi pia tulikuwa na commuter train kabla ya uzinduzi huu uliofanyika jana. Jana Uhuru alikuwa anaongeza routes za commuter train. Stations mpya zimejengwa na trains zimenunuliwa. Kwa hivyo huu ni upanuzi tu sio uzinduzi unavyofikiri wewe. Train zimekuwa zikibeba abiria hata hapo awali ila zilikuwa zinatumia routes chache
 
Hawa mguu moja iko ndani mguu moja iko nje. Watang'olewa wakikaa mbaya.
Ngj tuone nani atarudi ldc, unajua nyie msiwe wajinga WB waliamua kutuweka MIC kwasabu ya hili dude yn wamepiga hesabu wakagundua hakuna uwezekano nchi ikawa na infrastructure km hz na bado iwe ldc unless hyo nchi ni failed states km kenya, Somalia, Ethiopia, DRC, Sudan, et al,...[emoji116][emoji116][emoji3][emoji3]
tapatalk_1602965023764.jpeg
tapatalk_1600250386140.jpeg
 
Elimu Elimu Elimu, imetusaidia sana cc WaTz, ona watu tumekuwa na commuter train miaka mingi iliyopita na wala rais hajawahi kuzindua cz ni kitu cha kawaida mno na ni haki ya mwananchi, yn kabla ya Magu kuwa president watu tuko na ustaarabu huu, ona matumizi sahihi ya Elimu yalivyomkomboa mTz [emoji116][emoji116][emoji3][emoji3]View attachment 1623992View attachment 1623995View attachment 1623997
HAHAHAHA, Mtanzania na elimu ni kama maji na mafuta. Unaona pahali ujinga ya kitanzania imekufikisha. Yani unaleta passenger train ya Tazara ambayo kwanza haina madrisha unajaribu kulinganisha na Nairobi commuter rail.

Toa hii uchafu kwa huu uzi.
 
Ngj tuone nani atarudi ldc, unajua nyie msiwe wajinga WB waliamua kutuweka MIC kwasabu ya hili dude yn wamepiga hesabu wakagundua hakuna uwezekano nchi ikawa na infrastructure km hz na bado iwe ldc unless hyo nchi ni failed states km kenya, Somalia, Ethiopia, DRC, Sudan, et al,...[emoji116][emoji116][emoji3][emoji3]View attachment 1624073View attachment 1624076
Usiwe mshamba. Ethiopia walipata electric rail mbele yenu na bado ni LDC. Nyie mumepandishwa hadi MIC kwa sababu ya mapato ya kila mtanzania kuongezeka na kuzidi kiwango cha LDC na kuingia MIC. Gni per capita yenu ndio imeongezeka na kuwaweka MIC. Kila mtanzania leo anapata mapato ya juu kwa mwaka kushinda miaka kumi iliyopita. Hapa issue ni mapato ya mtu mmoja mmoja. Mtanzania mmoja anapata mapato ya juu kushinda Mhabeshi mmoja on average (kwa wastani). Ila Mkenya mmoja anapata mapato ya juu kushinda Mtanzania mmoja on average. Ila hizi statistics ni average. Usizichukulie kuwa zinaapply kwa kila mtu. GNI per capita yenu ni around $1,090 ila kuna Watanzania wengi wanaopata income chini ya $500 kwa mwaka na wengine bwenyenye wana kipato cha $1 million kwa mwaka. Lakini wote ni watanzania. Sasa wastani wa Mtanzania mmoja unakuwa $1,090 kwa mwaka. Sgr hio itawasaidia kwa miaka zijazo kuogeza mapato yenu ila kwa sasa haiwasaidii sana zaidi ya kusaidia suppliers wanaosupply materials za ujenzi au wafanyikazi wanaoijenga wanaopokea mishahara. Ila kwa mtanzania wa kawaida kama wewe SGR wakati inajengwa haikuongezei mapato na wala haikupi faida yoyote. Haikusafirishi na wala haisafirishi mizigo yenu. Impact kubwa ya SGR itaonekana pale itakapoanza kufanya kazi. Italeta multiplier effect kubwa katika uchumi wenu.
 
HAHAHAHA, Mtanzania na elimu ni kama maji na mafuta. Unaona pahali ujinga ya kitanzania imekufikisha. Yani unaleta passenger train ya Tazara ambayo kwanza haina madrisha unajaribu kulinganisha na Nairobi commuter rail.

Toa hii uchafu kwa huu uzi.
Nioneshe sehemu imeandikwa Tazara [emoji3][emoji3][emoji3]
 
Nioneshe sehemu imeandikwa Tazara [emoji3][emoji3][emoji3]
Na ujue kwanza zambia hawaja furahia nyinyi kutumia rail track ya TAZARA hivyo. Ukumbuke Tazara iko 50% owned by Zambia.

"The Citizen reported in January 2013 that 'Zambia was opposed' to the project utilising the TAZARA track and that it wasn't 'properly consulted'. Zambian officials insisted that the matter ought to have been brought before the board of directors for approval as both the governments are equal shareholders.Minister Mwakyembe refuted these allegations saying all procedures were adhered to. An anonymous TAZARA board member commented that they had failed to convene their quarterly meeting for the past six months."
 
Na ujue kwanza zambia hawaja furahia nyinyi kutumia rail track ya TAZARA hivyo. Ukumbuke Tazara iko 50% owned by Zambia.

"The Citizen reported in January 2013 that 'Zambia was opposed' to the project utilising the TAZARA track and that it wasn't 'properly consulted'. Zambian officials insisted that the matter ought to have been brought before the board of directors for approval as both the governments are equal shareholders.Minister Mwakyembe refuted these allegations saying all procedures were adhered to. An anonymous TAZARA board member commented that they had failed to convene their quarterly meeting for the past six months."
Kitu usichojua ni bora kukaa kimya tu, aliyekuambia commuter rail yetu inatumia rail ya Tazara only ni nani?
 
Umemuuliza hivi.
Nioneshe sehemu imeandikwa Tazara [emoji3][emoji3][emoji3]
Yeye akakujibu hivi halafu akitoka hapo anaanza kujisifia kuwa ana IQ kubwa [emoji23][emoji23][emoji23]
Na ujue kwanza zambia hawaja furahia nyinyi kutumia rail track ya TAZARA hivyo. Ukumbuke Tazara iko 50% owned by Zambia.

"The Citizen reported in January 2013 that 'Zambia was opposed' to the project utilising the TAZARA track and that it wasn't 'properly consulted'. Zambian officials insisted that the matter ought to have been brought before the board of directors for approval as both the governments are equal shareholders.Minister Mwakyembe refuted these allegations saying all procedures were adhered to. An anonymous TAZARA board member commented that they had failed to convene their quarterly meeting for the past six months."
 
Back
Top Bottom