Nairobi has slums - Dar is a Slum

Kuna ghorofa tatu wao hupenda kuonyesha, hupizipiga picha kwenye pembe/angle tofauti, zaidi ya hapo Dar inakua imeisha hamna kingine cha kuonyesha zaidi ya uswazi. Hawana CBDA iliyosimama yenyewe.
 
Kuna ghorofa tatu wao hupenda kuonyesha, hupizipiga picha kwenye pembe/angle tofauti, zaidi ya hapo Dar inakua imeisha hamna kingine cha kuonyesha zaidi ya uswazi. Hawana CBDA iliyosimama yenyewe.
Kuna mwingine alisema Ni vile Watanzania hawana muda wa kuzipiga sehemu zingine za Dar picha.
 
Nyani analazimisha Dar iwe kama kibera,dandora,fuata nyayo,mukuru kwa njega,mukuru kayaba,mathare,kariobange..those are world class slums!
 
Nyani analazimisha Dar iwe kama kibera,dandora,fuata nyayo,mukuru kwa njega,mukuru kayaba,mathare,kariobange..those are world class slums!
this is your middle class estate,



Compared to the same estate of similar class in Kenya



Yani middle class estate huku kwetu ni kama slum.
 
TEMBEA TANZANIA NZIMA HUKUTI FULL SUIT ZA MABATI NEVER!!

NAIROBI SASA HAHAHHAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAA
Umetembea Nairobi? Unplanned settlements(pamoja na slums) ni chini ya 2% ya ardhi ya Nairobi. Upande wa pili Dar 95% ni uplanned, yaani nyumba za ovyo zimejengwa bila mpangilio wowote. Nyumba ndio usiseme, ukifika uwanja wa fisi, tandale ni mwendo wa 2 piece kuta za udongo na 1 piece kofia ya mabati chakavu.
 
Tangu mseme daraja la kigamboni lipo kenya, mkadai Samata ni mkenya.... WAKENYA NI MATAPELI NA WEZI SUGU SANA,/...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…