CHASHA FARMING
JF-Expert Member
- Jun 4, 2011
- 7,872
- 9,263
- Thread starter
- #21
Tarehe ni mwanzoni mwa mwezi wa 9, nita aangalia tena ila unaweza searcha Agriculture society of KenyaOk, shukrani..
Tarehe ngapi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tarehe ni mwanzoni mwa mwezi wa 9, nita aangalia tena ila unaweza searcha Agriculture society of KenyaOk, shukrani..
Tarehe ngapi?
Msisahau kila mwaka njaa inawaandama, aaafu hao unaowazarau ndo wanawalisha. Kilimo sio mbwe mbwe za maonyesho bali jitihada halisi shambani.Hata mimi nashauku sana maana naona kama wako mbele yetu sana tuombe Mungu tu mwaka huu na mimi nitaenda aisee
Kws hio unashauri wasiende? Yaani ukiona watu wana organise trip unaimia sana? acha wivu kwani wanaenda kwa michango yako?Msisahau kila mwaka njaa inawaandama, aaafu hao unaowazarau ndo wanawalisha. Kilimo sio mbwe mbwe za maonyesho bali jitihada halisi shambani.
Ok ,shukrani.Tarehe ni mwanzoni mwa mwezi wa 9, nita aangalia tena ila unaweza searcha Agriculture society of Kenya
Kenya wapo mbali sana wanazalisha maziwa kwa kiwango cha juu sana,Wana ng'ombe Bora sana wa maziwa,wanafanya kilimo kwa njia za kisasa sana,wanazalisha matunda maua na mboga wanauza sana Ulaya.Msisahau kila mwaka njaa inawaandama, aaafu hao unaowazarau ndo wanawalisha. Kilimo sio mbwe mbwe za maonyesho bali jitihada halisi shambani.
Ndivyo unavyo jipa moyo? Hahaa, Kule kuna mambo mengo ya kujifunza, kuna Waisralei wanakuwepi na Techinolojia zao, Kuna Waturuki, kuna Wahindi na kadhalika, kuna techinolojia za ufugaji, kililo. Pia Kenya si kwamba hawalimi mahindi wanalima mno sana, sema wanalishia Ng'ombe, wanatengeneza Silage,Msisahau kila mwaka njaa inawaandama, aaafu hao unaowazarau ndo wanawalisha. Kilimo sio mbwe mbwe za maonyesho bali jitihada halisi shambani.
No sio wivu ila Watanzania wengi wanatabia ya kudharau vyao na kutukuza vya wageni.Kws hio unashauri wasiende? Yaani ukiona watu wana organise trip unaimia sana? acha wivu kwani wanaenda kwa michango yako?
Huko uliko labda, ila ni bado sana labda ikifika mwezi wa 8 mwishoni ndo tutajua anaye kwenda, ila safari inazia Arusha na ni kwenda na kurudi,
Kule unaenda kwa hati ya Dharura, ile karatasiSawa kiongozi hivi sisi tunahitajika kuwa na passport
YesKule unaenda kwa hati ya Dharura, ile karatasi
Yatakuwepo kitaifa yatafanyikia Mbeya.Mwaka huu maonyesho ya Manenane yatakuwepo?
Ok, kikanda nadhani itakuwa MorogoroYatakuwepo kitaifa yatafanyikia Mbeya.
Serikali ya awamu ya 6 itaanzisha maonesho ya Nanenane ya Kimataifa.Nakushauri kama unanafasi na kama uchaguzi wa Kenya utaenda vyema, basi hudhuria maonyesho ya Kilimo ya Nairobi, hakika hutajuta kamwe, Ni Very Organized ukilinganisha na hizi Nane nane zetu.
Unaweza anzia safari Arusha na ukaenda mapema sana na kurudi kulala Arusha, unaweza jifunza vitu hasa kwenye hii industry ya Kilimo.