Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
what is going on in here? naona madongo ya kikweli kweli yanarushwa na watizee na waKE.....
mabibi wa wakitz na kikenya wapi wakali?
Tunapoongelea uziri wamji hatuongelei majengo na usafi peke yake......pia na watu wake wakoje bana.......Angalia tu 1st Lady Lucy na linganisha na Salma: Utasemaje hapo?
what is going on in here? naona madongo ya kikweli kweli yanarushwa na watizee na waKE.....
mabibi wa wakitz na kikenya wapi wakali?
Yo Yo,
jamani mkuu una kazi..haya basi watoto wa bongo nawaota wao!
Kitu ina-boksi mwanaa!
Mabibi wa Kenya wakali sana! Kuna yule dada Joyce Akinyi na yule jamaa wa Nigeria Chinedu je mmefuatilia?
Taabu kubwa mabibi Wakenya ni pesa na sii mapenzi! Una pesa weye?? Kenya utapata bibi bomba ila Tz sii lazma uwe na pesa za ajabu ndo upate bibi bomba! Lugha yako tam tu!
Raha ya mabibi wa Tz ni wazuri toka moyoni, upole hata sura!
Angalia tu 1st Lady Lucy na linganisha na Salma: Utasemaje hapo?