joto la jiwe
JF-Expert Member
- Sep 4, 2017
- 26,117
- 46,617
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwanini unakua na mashaka?, unapaswa kujiamini ukisifiwa, kumbuka Leo ni X- mass.Hii ni hongera ya kweli ama ni ya kejeli?
Weka video tujionee, wacha kuweka picha zilichukuliwa 10Km high, hatuoni kitu chochote. Weka video tuone kinachoendelea ardhini.Dar is Slum ndio inapendeza zaidi. Aerial view. [emoji23]![]()
Ndio Dar is Slum hiyo! [emoji1] Huoni chochote kwasababu huko chini ni full vurugu hamna mpangilio wowote, paa zote ni full kutu. Hebu tafuta picha ya aeriel view ya Nairobi ujionee jiji ambalo limepangwa likapangika. Video za Drone view: Dar bado sana. Dar es salaam drone view. Nairobi drone view.Weka video tujionee, wacha kuweka picha zilichukuliwa 10Km high, hatuoni kitu chochote. Weka video tuone kinachoendelea ardhini.Sent using Jamii Forums mobile app
Hehe! 😀 Ana stress wakati wa krismasi. Haamini kwamba mwaka umeisha na kiboko alichotuambia tutachapwa mwakani bado tunakingoja. [emoji1] Naona analinganisha aeriel view ya sehemu flani Nairobi na street view ya Dar kwasababu hataki aibu za aeriel view ya Dar is Slum. Ngoja nimvuruge kidogo alafu nimuache na stress zake za ligi. 😎Ligi kila siku. Hadi siku ya krismasi. Tabia gani hii?
Dar es Salaama- TanzaniaNdio Dar is Slum hiyo! [emoji1] Huoni chochote kwasababu huko chini ni full vurugu hamna mpangilio wowote, paa zote ni full kutu. Hebu tafuta picha ya aeriel view ya Nairobi uone jiji ambalo limepangwa likapangika. Video za Drone view: Dar bado sana!
Dar es salaam drone view.
Nairobi drone view.
Haha! Hawa watu wazoee tu. Wamekutana pingli-nywee na joto la jiwe wazee wa Tz VS Ke...Ligi kila siku. Hadi siku ya krismasi. Tabia gani hii?
Wewe unakichaa?, sijaketa aerial view hata moja, nimefungua Uzi kwa kuweka " Driving in streets of Nairobi " na video ya "bike in the streets of Dar es Salaam, wewe kwa kupanic baada ya kuona barabara za Nairobi, ndio ukaweka aerial view ya Dar.Hehe! 😀 Ana stress wakati wa krismasi. Haamini kwamba mwaka umeisha na kiboko alichotuambia tutachapwa mwakani bado tunakingoja. [emoji1] Naona analinganisha aeriel view ya sehemu flani Nairobi na street view ya Dar kwasababu hataki aibu za aeriel view ya Dar is Slum. Ngoja nimvuruge kidogo alafu nimuache na stress zake za ligi. 😎
Haha! 😀 Sio hivyo mkuu. Anyway, acha yaishie hapo tu. joto la jiwe Dar is the best, enjoy your X-mass.Haha! Hawa watu wazoee tu. Wamekutana pingli-nywee na joto la jiwe wazee wa Tz VS Ke...
Wewe unakichaa?, sijaketa aerial view hata moja, nimefungua Uzi kwa kuweka " Driving in streets of Nairobi " na video ya "bike in the streets of Dar es Salaam, wewe kwa kupanic baada ya kuona barabara za Nairobi, ndio ukaweka aerial view ya Dar.
Enjoy " the beauty of Dar es Salaama.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahaha, Tomboya na Mwaikibaki roads Leo mnazikataa?, hizo barabara ni sawa na Kisutu na Samora hapa Dar. Hahahaha, Nairobi is a shithole city.
Hapa Kenya hamna barabara inayoitwa Mwai Kibaki road. Punguza bangi.Hahahaha, Tomboya na Mwaikibaki roads Leo mnazikataa?, hizo barabara ni sawa na Kisutu na Samora hapa Dar. Hahahaha, Nairobi is a shithole city.
Sent using Jamii Forums mobile app