Naxvegas254
JF-Expert Member
- Mar 29, 2019
- 542
- 316
Down Town Nairobi iko much much better than Dar's non existent CBD.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hii ndio nini[emoji23][emoji23][emoji23]
Sorry, ni Moi avenue.Hapa Kenya hamna barabara inayoitwa Mwai Kibaki road. Punguza bangi.
Aiyayayaaa! Hii ni 25% informal settlements na 50% slum. Kwa kweli Dar-is-slum.Dar is Slum ndio inapendeza zaidi. Aerial view. [emoji23]![]()
Punguza bangi kijana, inakupeleka pabaya
Inaitwa sanaa, kuelewa vitu kama hivyo, kwa mtu kama wewe, itakuwa ni kizungumkuti na kibarua kigumu mno.hii ndio nini[emoji23][emoji23][emoji23]yaani hata kinyoosha hiyo mistari mpaka mpewe rushwa.
Bonge la creativity, si vibaya kama tutaiga! pingli-nywee ni nani aliyekuja na hii idea?...
sanaa ili ivutie lazima iwe nadhifu.Inaitwa sanaa, kuelewa vitu kama hivyo, kwa mtu kama wewe, itakuwa ni kizungumkuti na kibarua kigumu mno.![]()
![]()
Huu uchafu mnauweka kwenye jiji chafuMeanwhile.... at the street level in Nairobee.![]()
Sio mradi wa serikali, ni initiative ya wakenya tu, kikundi cha wasanii zaidi ya 40, wacheki kule twitter, #MyMarkMyCity wakiongozwa na @MufasaThePoet. Wanafanya kazi nzuri sana.Bonge la creativity, si vibaya kama tutaiga! pingli-nywee ni nani aliyekuja na hii idea?...
Zebra Cross ndio msalaba wa kanisa lipi?sanaa ili ivutie lazima iwe nadhifu.
angalia msivyo serious kwenye kuandika plate number za magari yenu mpaka kwenye zebra cross hapo.
jitahidini kuongeza umakini kazi zenu zitaonekana.
Ushamba utakuua!Huu uchafu mnauweka kwenye jiji chafu
msalaba wa makaburi ya kibera.Zebra Cross ndio msalaba wa kanisa lipi?