Nairobi, Kenya: NASA wakijiandaa kumuapisha Odinga, bustani ya Uhuru Park imefungwa kwa muda usiojulikana

Nairobi, Kenya: NASA wakijiandaa kumuapisha Odinga, bustani ya Uhuru Park imefungwa kwa muda usiojulikana

Waliopo madarakani,majizi,mabaguzi ya kikabira,waliopo upinzani,jinsi wanavyotoka mishipa ya shingo kwa kuongea kwa ajiri ya wananchi,unaweza ukafikiri ukiwapa madaraka,mambo yatakuwa mazuri,waaapi!na wao ni majizi na mabaguzi ya kikabira,ukiyapa nchi,yatafanya yaleyale yanayofanywa na jubilee,ubaguzi wa kikabira,na kikanda,
Yanaongea sana kwa sababu yamekosa ulaji,ktk uchaguzi uliopita,
Siku wananchi watakapo jua hakuna cha mluya,mluo,mkamba,mkalenjin,mkikuyu wala mmasai,
Zipo kabila mbili tu,aliye fukara/maskini,asiyeweza kuzifikia fulsa ili ajikwamua na shida za dunia,na wale wenye ukwasi wa kutisha,wao na familia zao,watu wanaomiriki ardhi kama mkoa mzima wa Dar,
MTU kama Raila,kwa rasilimali zote alizonazo,kitu gani amefanya cha kuwanufsisha watu,RAIA wa kawaida kiuchumi,kampuni ngapi,anamiriki,ameajiri watu wangapi,?
MTU kama Trump,ni bilionea wa real estate,makampuni yake yanatoa ajira,kwa watu kibao duniani,hawa wanasiasa wetu,kwenye elimu kubwa tu,ma Dr,Prof,ma engineer,nini wamefanya,mpaka tuwape nchi,wamevumbua nini,wana maono gani,au wanaona matumbo yao tu,
Mwalimu Nyerere,na Mandela,hawakuwa na Mali,lakini kwa uongozi wao,maono yao,walizijenga jamii,zikawa kama walivyotaka,TZ ilieshimika dunia nzima,likitokea jambo Africa nzima ilisubiri,TZ iseme kwanza,Nyerere huyo
Hawa wasasa HV wanataka madaraka tu,ili wale,nchi imeishapata Raisi,badala ya kujenga nchi,mnaendeleza siasa,uchumi unadolola,haya ni matumizi mabaya ya demokrasia,
Gharama ya anakichotafuta iko karibu yake.Kenya haitaendelea kumsubiri mtu mmoja.
Huo ni uhaini...adhabu yake ni kifo.
 
Apishwa tuu mzee baba naona kidogo itakua nafuu kuliko kua na jirani na yule mkikuyu mnafiki........
 
Waliopo madarakani,majizi,mabaguzi ya kikabira,waliopo upinzani,jinsi wanavyotoka mishipa ya shingo kwa kuongea kwa ajiri ya wananchi,unaweza ukafikiri ukiwapa madaraka,mambo yatakuwa mazuri,waaapi!na wao ni majizi na mabaguzi ya kikabira,ukiyapa nchi,yatafanya yaleyale yanayofanywa na jubilee,ubaguzi wa kikabira,na kikanda,
Yanaongea sana kwa sababu yamekosa ulaji,ktk uchaguzi uliopita,
Siku wananchi watakapo jua hakuna cha mluya,mluo,mkamba,mkalenjin,mkikuyu wala mmasai,
Zipo kabila mbili tu,aliye fukara/maskini,asiyeweza kuzifikia fulsa ili ajikwamua na shida za dunia,na wale wenye ukwasi wa kutisha,wao na familia zao,watu wanaomiriki ardhi kama mkoa mzima wa Dar,
MTU kama Raila,kwa rasilimali zote alizonazo,kitu gani amefanya cha kuwanufsisha watu,RAIA wa kawaida kiuchumi,kampuni ngapi,anamiriki,ameajiri watu wangapi,?
MTU kama Trump,ni bilionea wa real estate,makampuni yake yanatoa ajira,kwa watu kibao duniani,hawa wanasiasa wetu,kwenye elimu kubwa tu,ma Dr,Prof,ma engineer,nini wamefanya,mpaka tuwape nchi,wamevumbua nini,wana maono gani,au wanaona matumbo yao tu,
Mwalimu Nyerere,na Mandela,hawakuwa na Mali,lakini kwa uongozi wao,maono yao,walizijenga jamii,zikawa kama walivyotaka,TZ ilieshimika dunia nzima,likitokea jambo Africa nzima ilisubiri,TZ iseme kwanza,Nyerere huyo
Hawa wasasa HV wanataka madaraka tu,ili wale,nchi imeishapata Raisi,badala ya kujenga nchi,mnaendeleza siasa,uchumi unadolola,haya ni matumizi mabaya ya demokrasia,
This guy is wise
 
Apishwa tuu mzee baba naona kidogo itakua nafuu kuliko kua na jirani na yule mkikuyu mnafiki........
Kwahivyo kwa akili zako za shule ya chekechea RAO akijiapisha wakikuyu wote ndo watakufa au? Naona bongo movie zilivokuvuruga akili.
 
Waliopo madarakani,majizi,mabaguzi ya kikabira,waliopo upinzani,jinsi wanavyotoka mishipa ya shingo kwa kuongea kwa ajiri ya wananchi,unaweza ukafikiri ukiwapa madaraka,mambo yatakuwa mazuri,waaapi!na wao ni majizi na mabaguzi ya kikabira,ukiyapa nchi,yatafanya yaleyale yanayofanywa na jubilee,ubaguzi wa kikabira,na kikanda,
Yanaongea sana kwa sababu yamekosa ulaji,ktk uchaguzi uliopita,
Siku wananchi watakapo jua hakuna cha mluya,mluo,mkamba,mkalenjin,mkikuyu wala mmasai,
Zipo kabila mbili tu,aliye fukara/maskini,asiyeweza kuzifikia fulsa ili ajikwamua na shida za dunia,na wale wenye ukwasi wa kutisha,wao na familia zao,watu wanaomiriki ardhi kama mkoa mzima wa Dar,
MTU kama Raila,kwa rasilimali zote alizonazo,kitu gani amefanya cha kuwanufsisha watu,RAIA wa kawaida kiuchumi,kampuni ngapi,anamiriki,ameajiri watu wangapi,?
MTU kama Trump,ni bilionea wa real estate,makampuni yake yanatoa ajira,kwa watu kibao duniani,hawa wanasiasa wetu,kwenye elimu kubwa tu,ma Dr,Prof,ma engineer,nini wamefanya,mpaka tuwape nchi,wamevumbua nini,wana maono gani,au wanaona matumbo yao tu,
Mwalimu Nyerere,na Mandela,hawakuwa na Mali,lakini kwa uongozi wao,maono yao,walizijenga jamii,zikawa kama walivyotaka,TZ ilieshimika dunia nzima,likitokea jambo Africa nzima ilisubiri,TZ iseme kwanza,Nyerere huyo
Hawa wasasa HV wanataka madaraka tu,ili wale,nchi imeishapata Raisi,badala ya kujenga nchi,mnaendeleza siasa,uchumi unadolola,haya ni matumizi mabaya ya demokrasia,
Mkuu una hoja nzito ila nafkiri tunakosea tunapomlaumu odinga..... Makosa aliyafanya kenyatta na IEBC tokea mwanzo

Baada ya chaguzi kufutwa ilitakiwa wasikilizane na mabadiliko yafanyike IEBC lakini contrary hakuna lililobadilika na uchaguzi ukafanyika kwa lazima hapo ulitegemea odinga afanyeje??

Upinzani wakaomba mazungumzo lakini kenyatta walikataa ulitaka odinga awaambie nini wafuasi wake??? Au ulitaka acheke tu baada ya kuporwa ushindi

Najua anachofanya odinga ni kibaya sana na kinyume cha katiba lakini kwangu mimi naona HAKUWA NA NAMNA sababu ushindi aliporwa alafu hawataki hata kumsikiliza madai yake..... HE HAS NO OPTION
 
Back
Top Bottom