Betterhalf
JF-Expert Member
- Dec 20, 2016
- 2,882
- 2,560
Yatamkuta tu hayo anayoyataka.Angetaka angejaza zile fomu ili ajiondoe officially kwenye uchaguzi.Odinga atulie tu. Yanini kutafuta mtifuano?
Gharama ya anakichotafuta iko karibu yake.Kenya haitaendelea kumsubiri mtu mmoja.Waliopo madarakani,majizi,mabaguzi ya kikabira,waliopo upinzani,jinsi wanavyotoka mishipa ya shingo kwa kuongea kwa ajiri ya wananchi,unaweza ukafikiri ukiwapa madaraka,mambo yatakuwa mazuri,waaapi!na wao ni majizi na mabaguzi ya kikabira,ukiyapa nchi,yatafanya yaleyale yanayofanywa na jubilee,ubaguzi wa kikabira,na kikanda,
Yanaongea sana kwa sababu yamekosa ulaji,ktk uchaguzi uliopita,
Siku wananchi watakapo jua hakuna cha mluya,mluo,mkamba,mkalenjin,mkikuyu wala mmasai,
Zipo kabila mbili tu,aliye fukara/maskini,asiyeweza kuzifikia fulsa ili ajikwamua na shida za dunia,na wale wenye ukwasi wa kutisha,wao na familia zao,watu wanaomiriki ardhi kama mkoa mzima wa Dar,
MTU kama Raila,kwa rasilimali zote alizonazo,kitu gani amefanya cha kuwanufsisha watu,RAIA wa kawaida kiuchumi,kampuni ngapi,anamiriki,ameajiri watu wangapi,?
MTU kama Trump,ni bilionea wa real estate,makampuni yake yanatoa ajira,kwa watu kibao duniani,hawa wanasiasa wetu,kwenye elimu kubwa tu,ma Dr,Prof,ma engineer,nini wamefanya,mpaka tuwape nchi,wamevumbua nini,wana maono gani,au wanaona matumbo yao tu,
Mwalimu Nyerere,na Mandela,hawakuwa na Mali,lakini kwa uongozi wao,maono yao,walizijenga jamii,zikawa kama walivyotaka,TZ ilieshimika dunia nzima,likitokea jambo Africa nzima ilisubiri,TZ iseme kwanza,Nyerere huyo
Hawa wasasa HV wanataka madaraka tu,ili wale,nchi imeishapata Raisi,badala ya kujenga nchi,mnaendeleza siasa,uchumi unadolola,haya ni matumizi mabaya ya demokrasia,
This guy is wiseWaliopo madarakani,majizi,mabaguzi ya kikabira,waliopo upinzani,jinsi wanavyotoka mishipa ya shingo kwa kuongea kwa ajiri ya wananchi,unaweza ukafikiri ukiwapa madaraka,mambo yatakuwa mazuri,waaapi!na wao ni majizi na mabaguzi ya kikabira,ukiyapa nchi,yatafanya yaleyale yanayofanywa na jubilee,ubaguzi wa kikabira,na kikanda,
Yanaongea sana kwa sababu yamekosa ulaji,ktk uchaguzi uliopita,
Siku wananchi watakapo jua hakuna cha mluya,mluo,mkamba,mkalenjin,mkikuyu wala mmasai,
Zipo kabila mbili tu,aliye fukara/maskini,asiyeweza kuzifikia fulsa ili ajikwamua na shida za dunia,na wale wenye ukwasi wa kutisha,wao na familia zao,watu wanaomiriki ardhi kama mkoa mzima wa Dar,
MTU kama Raila,kwa rasilimali zote alizonazo,kitu gani amefanya cha kuwanufsisha watu,RAIA wa kawaida kiuchumi,kampuni ngapi,anamiriki,ameajiri watu wangapi,?
MTU kama Trump,ni bilionea wa real estate,makampuni yake yanatoa ajira,kwa watu kibao duniani,hawa wanasiasa wetu,kwenye elimu kubwa tu,ma Dr,Prof,ma engineer,nini wamefanya,mpaka tuwape nchi,wamevumbua nini,wana maono gani,au wanaona matumbo yao tu,
Mwalimu Nyerere,na Mandela,hawakuwa na Mali,lakini kwa uongozi wao,maono yao,walizijenga jamii,zikawa kama walivyotaka,TZ ilieshimika dunia nzima,likitokea jambo Africa nzima ilisubiri,TZ iseme kwanza,Nyerere huyo
Hawa wasasa HV wanataka madaraka tu,ili wale,nchi imeishapata Raisi,badala ya kujenga nchi,mnaendeleza siasa,uchumi unadolola,haya ni matumizi mabaya ya demokrasia,
Kwahivyo kwa akili zako za shule ya chekechea RAO akijiapisha wakikuyu wote ndo watakufa au? Naona bongo movie zilivokuvuruga akili.Apishwa tuu mzee baba naona kidogo itakua nafuu kuliko kua na jirani na yule mkikuyu mnafiki........
Watahara damuKwahivyo kwa akili zako za shule ya chekechea RAO akijiapisha wakikuyu wote ndo watakufa au? Naona bongo movie zilivokuvuruga akili.
Hahahaha besigye ameshanyongwa???Huo ni uhaini
Hukumu yake ni kunyongwa hadi kufa
So
R.I.P. IN ADVANCE ODINGA
Mlitaka afanyeje na ameibiwa ushindi wake.... Toeni solution sio kumlaumu tuOdinga aelewe kuwa anarudisha maendeleo ya nchi yake nyuma
Mkuu una hoja nzito ila nafkiri tunakosea tunapomlaumu odinga..... Makosa aliyafanya kenyatta na IEBC tokea mwanzoWaliopo madarakani,majizi,mabaguzi ya kikabira,waliopo upinzani,jinsi wanavyotoka mishipa ya shingo kwa kuongea kwa ajiri ya wananchi,unaweza ukafikiri ukiwapa madaraka,mambo yatakuwa mazuri,waaapi!na wao ni majizi na mabaguzi ya kikabira,ukiyapa nchi,yatafanya yaleyale yanayofanywa na jubilee,ubaguzi wa kikabira,na kikanda,
Yanaongea sana kwa sababu yamekosa ulaji,ktk uchaguzi uliopita,
Siku wananchi watakapo jua hakuna cha mluya,mluo,mkamba,mkalenjin,mkikuyu wala mmasai,
Zipo kabila mbili tu,aliye fukara/maskini,asiyeweza kuzifikia fulsa ili ajikwamua na shida za dunia,na wale wenye ukwasi wa kutisha,wao na familia zao,watu wanaomiriki ardhi kama mkoa mzima wa Dar,
MTU kama Raila,kwa rasilimali zote alizonazo,kitu gani amefanya cha kuwanufsisha watu,RAIA wa kawaida kiuchumi,kampuni ngapi,anamiriki,ameajiri watu wangapi,?
MTU kama Trump,ni bilionea wa real estate,makampuni yake yanatoa ajira,kwa watu kibao duniani,hawa wanasiasa wetu,kwenye elimu kubwa tu,ma Dr,Prof,ma engineer,nini wamefanya,mpaka tuwape nchi,wamevumbua nini,wana maono gani,au wanaona matumbo yao tu,
Mwalimu Nyerere,na Mandela,hawakuwa na Mali,lakini kwa uongozi wao,maono yao,walizijenga jamii,zikawa kama walivyotaka,TZ ilieshimika dunia nzima,likitokea jambo Africa nzima ilisubiri,TZ iseme kwanza,Nyerere huyo
Hawa wasasa HV wanataka madaraka tu,ili wale,nchi imeishapata Raisi,badala ya kujenga nchi,mnaendeleza siasa,uchumi unadolola,haya ni matumizi mabaya ya demokrasia,