Nairobi kuzishinda Nigeria na Afrika Kusini kwenye ukuaji

Nairobi kuzishinda Nigeria na Afrika Kusini kwenye ukuaji

pleo. unajiokotea mapicha hata si ya south B, bwege kabisa, hizo picha ni za kule majengo yanabomolewa kule huruma, hata unaona zimewekwa alama ya X na NCC (nairobi city council) na moja imeandikwa tenants to vacate imidiatelly, waka kueka picha za uongo ili kudanganya watu na propaganda, ati south B
mkuu wacha matusi, bwege tusi kubwa sana huku south, kama hizo picha sio za nairobi si useme tu ni za somalia mogadishu, ila kwa kuwa huko ni kwenu tuambie ukweli we ndo unachungulia hapo juu!
 
nnyy.JPG

nyumba za middle class south b, kama fungu la nyanya masalo.
 
hii statement maze " Food is the largest expenditure item, accounting for 44.3 per cent of Kisumu’s consumer spending, 39.5 per cent of Mombasa’s and 35.1 per cent of Nairobi’s."

Anyway now i understand why the number of shopping malls in Kisumu is on the rise.
Hizi habari zimechapwa na east african magazine,ni za upendeleo kwani zimeonyesha upande mmoja tu wa kenya na wakati lajiita east african,hoja haina mashiko.
 
w
View attachment 367389 south b ni nzuri kwa mkenya masikini anayefanya kazi masaa tano kupata chakula cha siku moja.[/QUOT

Weye mshenzi!.....hiyo hapo sio SOUTH B , ni slum za Huruma......moderator mniban mkipenda na uonevu wenyu uliyo na ubaguzi, ilhali watz humu wanaporomosha matusi usiku/mchana!

naanza kuichukia liforum hii!
 
pleo said:
View attachment 367389 south b ni nzuri kwa mkenya masikini anayefanya kazi masaa tano kupata chakula cha siku moja.


Weye mshenzi!.....hiyo hapo sio SOUTH B , ni slum za Huruma......moderator mniban mkipenda na uonevu wenyu uliyo na ubaguzi, ilhali watz humu wanaporomosha matusi usiku/mchana!

naanza kuichukia liforum hii!
 
pleo said:
View attachment 367389 south b ni nzuri kwa mkenya masikini anayefanya kazi masaa tano kupata chakula cha siku moja.


Weye mshenzi!.....hiyo hapo sio SOUTH B , ni slum za Huruma......moderator mniban mkipenda na uonevu wenyu uliyo na ubaguzi, ilhali watz humu wanaporomosha matusi usiku/mchana!

naanza kuichukia liforum hii!
anti meza mate kidogo, keyboard yako inapaliwa mi huko kwenu mgeni naomba unielekeze hili ghorofa lililolala lipo sehemu gani? unajua limejengwa na bongo lala hata dog wangu simruhusu aingie humu
images-1n4.jpeg
 
Back
Top Bottom