Nairobi: Master Fabricaters inaweza kushindana na China utengenezaji wa magari kuvutia abiria?

Yale ya kuzidi uzito walikuwa wakichukua Chassis ya Lori na Engine yake halafu ndo wanatengeneza basi. Haya yana vipimo vyote ili kuhimiri ushindani
kuzidi uzito kunasababishwa na axle configuration tu hapo
 
Na wakiambiwa kuwa mwenge ni kupoteza muda tu hakuna maana yeyote, wanakuwa wakali sana. Hizi nchi za Afrika bhana yaani Shithole

Waache kukimbiza mwenge wa forojo ganze na kuimba ccm mbele kwa mbele [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]

Bongo ni nchi wajinga sana uswahili mwingi taarabu nyingi na shithole leaders
 
Wakenya wametupiga bao pakubwa,I wish tungekuwa ni sisi maana tuna rasilomali zote ila tumekosa quality rasilimali watu
 
Asee kuna dogo pale Umoja, Nairobi, kampuni yake inaitwa Omosh Fabricators. Anafanya 'finishing' ya nje na ndani kwenye zile hiace ndogo, matatu za Nairobi, wanaziita 'nganya' kwa lugha ya sheng. Amejiamini sana na gari zake ni freshi sana kwa ndani na nje. Vijana wa East Africa, wakenya kwa watz, msidharau kazi zozote zile, kujituma ndo kila kitu, sasa hivi ni miaka zaidi ya kumi yupo kwenye kazi hiyo. Anapiga hela za maana huezi amini. Big up Omosh, namfahamu vizuri sana. 'Inspiration' na ajira anazowapa vijana wenzake, ni kitu cha maana sana.
 
Waache kukimbiza mwenge wa forojo ganze na kuimba ccm mbele kwa mbele [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]

Bongo ni nchi wajinga sana uswahili mwingi taarabu nyingi na shithole leaders
Bongo hatuna akili hatutaweza kuwa na akili mpaka tuache kula vyakula visivyo na afya ya ubongo. Utafiti unasema ugali hauna faida yoyote kwy ubongo, sasa apa Tanzania, watu wanakula ugali asubuhi, mchana na jioni. Tunazidi kuzaa vizazi vya mabongolalal
Sasa ivi hata shule za vipaji zimepotea yote hayo ni matokeo ya ugali
 
Hii gari body katengeneza master lakini finishing ya ndani yote kafanya mchina mpaka Ac mchina ndio kafunga,alafu hilo body tayari limeshaanza kuweka ufa kwenye filla
Wenzetu huko walikoendelea,kila kitu hufanywa kwa vifaa vya teknolojia ya hali ya juu. Electrolysis na Electroplating ndiyo mifumo waitumiayo.
 
Hongera Kenya. Watz sisi kazi yetu kutafuta vijisababu vya kushindwa na kukosoa kila kitu. Tuache kuwa sooo negative
Sure mi nina admire hawa wakenya kwa hatua kubwa kama hii ni mataifa machache ya kiafrica hasa subsaharan yenye uthubu kama huu ukitoa South Africa .Mi naamin inabidi ifike wakati tuwe na brand zetu za magari na vifaa mbalimbali ili kuchochea maendeleo katika bara letu na kuwa prove wrong wanaotuita shitholes.
 
Ni kweli kabisa. Waafrika inabidi tushirikiane kujenga mataifa yetu yawe na maendeleo sio kuhujumiana wenyewe kwa wenyewe. Wakenya ni wabunifu sana.
 
Hilo basi haliko economical. Kwanza lina viti vichache pia mchina hanywi mafuta sana
 
Hilo basi haliko economical. Kwanza lina viti vichache pia mchina hanywi mafuta sana
Economical kwa nani? Nyie ndo abiria mlozoea kurundikwa kwenye daladala kama viazi, makalio nje ya dirisha afu mnaona freshi tu.
 
Hamna nchi inazidi TZ kutengeneza body yards gari EA. Pita Arusha name Moshi mtaona wataalam ambao wana branches hata Nrb!
 
Hilo basi haliko economical. Kwanza lina viti vichache pia mchina hanywi mafuta sana
Mkuu upo sahihi kabisa, hasa hiyo point ya mafuta ndio iliyowakimbiza matajiri wa mabasi marcopolo mpaka yutong
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…