Wapumbavu wa sisiemu badala wafanye wananchi kuikimbiza elimu wanawafanya wakimbize MWENGE na maPHD yao ya kukimbiza mwenge shitPHDNa wakiambiwa kuwa mwenge ni kupoteza muda tu hakuna maana yeyote, wanakuwa wakali sana. Hizi nchi za Afrika bhana yaani Shithole
duu kumbe yanatoka kenya...yametulia sanaBody na Magari ya kichina kama Yutong, Zhongtong, Golden Dragon ni kama ambavyo yamekuwa gumzo kubwa kwa wamiliki wa magari hapa Tanzania kwa sasa.
Je basi hii iliyotengenezwa na Master Fabricaters Nairobi nchini Kenya inaweza kushindana kisoko kwa kuvutia abiria kwa uzuri wa gari, ubora, uimara wa body na magari ya kichina?
Haahh kijana katika hizo gari kila kitu master wamechukua china kazi yao ilikuwa ni kufanya assembling tuBody na Magari ya kichina kama Yutong, Zhongtong, Golden Dragon ni kama ambavyo yamekuwa gumzo kubwa kwa wamiliki wa magari hapa Tanzania kwa sasa.
Je basi hii iliyotengenezwa na Master Fabricaters Nairobi nchini Kenya inaweza kushindana kisoko kwa kuvutia abiria kwa uzuri wa gari, ubora, uimara wa body na magari ya kichina?
Kama ingekua hivyo wangeitwa master assemblers... Unajua maana ya fabricating bus bodies and interior?Haahh kijana katika hizo gari kila kitu master wamechukua china kazi yao ilikuwa ni kufanya assembling tu