Nairobi: Master Fabricaters inaweza kushindana na China utengenezaji wa magari kuvutia abiria?

Nairobi: Master Fabricaters inaweza kushindana na China utengenezaji wa magari kuvutia abiria?

Na wakiambiwa kuwa mwenge ni kupoteza muda tu hakuna maana yeyote, wanakuwa wakali sana. Hizi nchi za Afrika bhana yaani Shithole
Wapumbavu wa sisiemu badala wafanye wananchi kuikimbiza elimu wanawafanya wakimbize MWENGE na maPHD yao ya kukimbiza mwenge shitPHD
 
Hawa master fabricators wanafaa wanunue vifaa na mashini mpya na waongeze mashine ili waingie kwa fabrication ya personal cars alafu wapige dili na campuni kama VW,toyota,Isuzu ambao wako na assembly plant kenya, VW iwe ina import Engine,Chasis,wiring, alafu sisi tunatengeneza body,Windshield,Doors,lights,....

VW production line at Kenya vehicle manufacturers plant ,

A Volkswagen production line at the Kenya Vehicles Manufactures (KVM) in Thika.jpg
No title(223).jpg
No title(222).jpg
httpscdn_face2faceafrica_comwwwwp-contentuploads201609Volkswagen-in-Kenya.jpg
 
Kwa kweli masters wanajitahidi sana na wamekuwa wanaimprove sana over the. Years.
Big up director wao mzee virdee, mwaka uliopita alisherehekea in style![emoji122] [emoji3]
FB_IMG_1516560783967.jpg


Tahmeed hufanyiwa fabrication na body works za mabasi yao aina ya scania hapo masters
FB_IMG_1516560777746.jpg

FB_IMG_1516560771210.jpg
FB_IMG_1516560888558.jpg
 
Ila kampuni zingine ndogo ndogo pia zinajitahidi sana kama hawa choda fabricators
FB_IMG_1516561233049.jpg

FB_IMG_1516561291675.jpg
FB_IMG_1516561243384.jpg
 

Attachments

  • FB_IMG_1516560767268.jpg
    FB_IMG_1516560767268.jpg
    135.9 KB · Views: 105
a2112857800ed9a8049934560f4b4c0f.jpg
4fd56fc0ae496cb205f1dae2519b251a.jpg
10e6263794ba8fbb1d518ebe7dca592c.jpg
577dc803827301cf88d0ce05eef4c000.jpg
27226221146e2da8729c2e71c3bfbe49.jpg
Body na Magari ya kichina kama Yutong, Zhongtong, Golden Dragon ni kama ambavyo yamekuwa gumzo kubwa kwa wamiliki wa magari hapa Tanzania kwa sasa.

Je basi hii iliyotengenezwa na Master Fabricaters Nairobi nchini Kenya inaweza kushindana kisoko kwa kuvutia abiria kwa uzuri wa gari, ubora, uimara wa body na magari ya kichina?
duu kumbe yanatoka kenya...yametulia sana
 
Wako vizuri asee, ila kwenye dashboard waongeze utundu kama wanahusika wao.
 
a2112857800ed9a8049934560f4b4c0f.jpg
4fd56fc0ae496cb205f1dae2519b251a.jpg
10e6263794ba8fbb1d518ebe7dca592c.jpg
577dc803827301cf88d0ce05eef4c000.jpg
27226221146e2da8729c2e71c3bfbe49.jpg
Body na Magari ya kichina kama Yutong, Zhongtong, Golden Dragon ni kama ambavyo yamekuwa gumzo kubwa kwa wamiliki wa magari hapa Tanzania kwa sasa.

Je basi hii iliyotengenezwa na Master Fabricaters Nairobi nchini Kenya inaweza kushindana kisoko kwa kuvutia abiria kwa uzuri wa gari, ubora, uimara wa body na magari ya kichina?
Haahh kijana katika hizo gari kila kitu master wamechukua china kazi yao ilikuwa ni kufanya assembling tu
 
Haahh kijana katika hizo gari kila kitu master wamechukua china kazi yao ilikuwa ni kufanya assembling tu
Kama ingekua hivyo wangeitwa master assemblers... Unajua maana ya fabricating bus bodies and interior?

httpsi_ytimg_comviYhjEkZE3obcmaxresdefault.jpg
 
Back
Top Bottom