Tetesi: Nairobi tena - Facebook has announced Open 1st Sub-Saharan Africa Content Review Centre in Nairobi

Tetesi: Nairobi tena - Facebook has announced Open 1st Sub-Saharan Africa Content Review Centre in Nairobi

Niko na 500 of which hio nikikam nayo huko nakununua na na tarmac barabara ya kuja kwenu,n then nakujengea choo na nakubuyia tissue ya one year juu kuongea na kuenda choo ndo unajua,nikiondoa uchawi
Hahaha choo kitoke wapi? Anaenda kwa kichaka kilicho karibu. Kinachoshangaza ni kuwa licha ya kuwa na hiyo Land mass yote, hawana vyoo vya kutosha. Nchi yao nimiongoni mwa nchi zenye uchafu na uhaba wa vyoo barani afrika.Badala ya kuchimba mashimo ya vyoo mgonjwa mahututi na kaka zake huingia jf kuponda taifa letu tukufu la Kenya na kutukana wakenya
 
Hahaha choo kitoke wapi? Anaenda kwa kichaka kilicho karibu. Kinachoshangaza ni kuwa licha ya kuwa na hiyo Land mass yote, hawana vyoo vya kutosha. Nchi yao nimiongoni mwa nchi zenye uchafu na uhaba wa vyoo barani afrika.Badala ya kuchimba mashimo ya vyoo mgonjwa mahututi na kakake huingia jf kuponda taifa letu tukufu la Kenya na kutukana wakenya
Haha true i like your swah,umetoka mombasa nini?
 
Mbona dar es salaam haikuchaguliwa? Mbona watoto wa TZ wanakula meffi?
 
View attachment 1016220

Fact check..


Its Kenyans who like to listen and follow Tanzanians and not the other way round..

You will never see any kenyan music, political activity or anything trending in Tanzania but Its the opposite in kenya..

Next time check your facts..
You reason like a class 1 kid. Music is a form of entertainment and when it comes to entertainment you chose what's good for you. You want to tell me no Tanzanian listens to American songs? What I mean by obsessed with Kenya is that you follow every blogger from Kenya, knows Kenyan news even before we Kenyans know it and kujua every Kenyan politician from President to MCAs. Kama si obsession then tell me what is it.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom