kifusi boy
JF-Expert Member
- Jun 13, 2017
- 1,141
- 1,752
Practical Training indeed[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Kenya Water institute ni ya Ukweli, Hadi magari kama samaki, yanapumulia maji.
View attachment 715546
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Kenya Water institute ni ya Ukweli, Hadi magari kama samaki, yanapumulia maji.
View attachment 715546
Jiskilize tena[emoji38]middle class ya dar ni chini sana...magari watatoa wapi.
big rich cities huwa na traffic despite good Infrastructure.
magari yananunuliwa kwa wingi sana
Yeah Nairobi ni ligi ya Mumbai, Pune, New delhi. Dar ni ligi ya Toronto, London, Newyork, Paris etc
Hawa majamaa sijajua Yale mabarabara ni Urembo tuu au Fashion...
Maana hakuna liwasaidialo
We mtu una mibarabara mi lane kwa mi lane tena sita sita na mi flyover bwelele lakini bado wanalia na foleni...
Shubamiiiiiiit
Hawakufanya study ya kutosha kutokana na mazingira yao wao walikopi ramani za watu na kujenga kwao.
HahahahaDar imejenga barabara hadi mitaani. Nairobi ni ndogo sana kiasi kwamba nikiwa juu ndani ya ndege naweza nikaikojolea yote
Non of the above.. Kwanini una niuliza hilo swali?View attachment 715961
Chagua kati ya haya magonjwa ya akili upi unakusumbua
Nitakusaidia: Hayo magonjwa yoote ametaja hapo yanaashiria mtu ana tatizo kwenye sehemu gani ya mwili?Non of the above.. Kwanini una niuliza hilo swali?
!
!
Kuna mmoja huku kwetu alisema foleni ni ishara yaaendeleo
Ni lack of efficiency.Na si uongo. Hio inaonyesha ni kwa kiasi gani wakenya wanavyonunua magari. Hali ya mapato nchini inazidi kunawiri.