IPO proposed 60 na tuoneshe tower gani proposed hapoGani hiyo proposed na ni 60...nimefuata hizo ma towet zote zingine zilikwama zingine proposed...huwezi niletea uwongo hapa
Alafu umeacha towers nyingi sana hujeka hehhehhe malizia misumari yote babaUmefuatilia wapi!?
mlichowah kipi kujengewa mji...[emoji3] [emoji3] [emoji3] kutangulia siyo kufika na tajiri wenu africa ni Tanzania kama kwenye vita nyie ndyo chambo ama wagambo makuruti tuliwatanguliza ...sasa tumekuja kuchukua nafasi zetu.....unaambiwa dalili ya mvua ni mawingu ....kinachowatokea ams kuendelea sasa ni treiller... movie bado nyie siyo level zetu nyie ni maanda ground ....sema tulitelezaga nyuma......mumechelewa bro. kumbuka Rome was not built in a day. sisi kwa ii game tulianza kitambo sana mpaka sasa tumebobea. ndio maana utakuta Kenya inaenda battle na S.A ama Naija na bado tunawabwaga kila upande. nyinyi kama munatafuta kiki, jaribuni Uganda ama Kampala. ju muko ligi yao. kwa sasa bado mutaiona paa Kenya.
yeah! ila ni vema tukajitahidi kuwa na mshikamano nao hasa ukizingatia ni kama taifa mtaniWanajua fika kwamba kama tungepata uongozi bora Sub Sahara Africa with exclusive SA sisi tulitakiwa tuwe second to none
THE WORLD TRADE CENTER DAR ES SALAAM - PROPOSED 42 floors
THE WORLD TRADE CENTER DAR ES SALAAM - PROPOSED 42 floors
Nairobi ilinganishe na Arusha. Kwa Daslamu mtasubiri sana aisee. Nilifika mwaka juzi Nairobi nikawa natafta stendi ya mabasi ya Mwanza sikuamini kuona mabasi yanapaki pembezoni mwa maduka. Hakuna stendi maalumu. Nikajiuliza hii ni Nairobi au Songea!?[emoji23]1. Nairobi - Britam Tower - 33 floors. KweliKwanza lete jibuView attachment 494362
Kenya mna Cities mbili. Tz tuna cities 5. Tukianza kuhesabu maghorofa yote nyie mtasubiri sana tuafter this tunaemda msa vs mwanza over 20 floors...tayarisha picha mkuu
Ety cities tank..gani hiyo najua dar pekeeKenya mna Cities mbili. Tz tuna cities 5. Tukianza kuhesabu maghorofa yote nyie mtasubiri sana tu
Arusha, Dar es salaam, Mbeya, Mwanza na Tanga. Kuna miji soon itakuwa cities, Dodoma, Morogoro na ShinyangaEty cities tank..gani hiyo najua dar pekee
Ukitoa Dar hapo hakuna city inafikia Eldoret ama NakuruArusha, Dar es salaam, Mbeya, Mwanza na Tanga. Kuna miji soon itakuwa cities, Dodoma, Morogoro na Shinyanga
Shinyanga bado saanaArusha, Dar es salaam, Mbeya, Mwanza na Tanga. Kuna miji soon itakuwa cities, Dodoma, Morogoro na Shinyanga
Nairobi ilinganishe na Arusha. Kwa Daslamu mtasubiri sana aisee. Nilifika mwaka juzi Nairobi nikawa natafta stendi ya mabasi ya Mwanza sikuamini kuona mabasi yanapaki pembezoni mwa maduka. Hakuna stendi maalumu. Nikajiuliza hii ni Nairobi au Songea!?[emoji23]
2020 itakua 2.5 yrs serious hahahhahahhaahahahHass Towers | On_going Construction| 2.5yrs to go | 330m | 67floors | Africa's Numero Uno | Nairobi
Aongezee kuna zanzibarShinyanga bado saana
Tanzania ina cities 6 kuna dar es salaam,Mwanza,arusha,Zanzibar,tanga,mbeya na soon Dodoma iko mbioni kuitwa city.....stay coolEty cities tank..gani hiyo najua dar pekee
Those are which cities...its only Zanzibar&arusha that are famous.. Zingine ni cities kwa standard zenu ziipimanishwa na za Kenya zitakua za mwishoTanzania ina cities 6 kuna dar es salaam,Mwanza,arusha,Zanzibar,tanga,mbeya na soon Dodoma iko mbioni kuitwa city.....stay cool
Nairobi ,mombasa ,nakuru ,eldoret , kisumu,kericho,kiambu,nyeri ...etc ...kma huijui kenya fyata mdomo na uende ufanye research ...Arusha, Dar es salaam, Mbeya, Mwanza na Tanga. Kuna miji soon itakuwa cities, Dodoma, Morogoro na Shinyanga
Zanzibar inaichapa mombasa Hands downAongezee kuna zanzibar