Nairobi Vs Dar es Salaam: Towers over 20 floors

Nairobi Vs Dar es Salaam: Towers over 20 floors

Those are which cities...its only Zanzibar&arusha that are famous.. Zingine ni cities kwa standard zenu ziipimanishwa na za Kenya zitakua za mwisho
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sema famous kwenye masikio yako

Kwataarifa yako the trend ni hii

Dar es Salaam
Zanzbar
Mwanza & Arusha
Mbeya
Tanga
Na soon Dodoma
 
Those are which cities...its only Zanzibar&arusha that are famous.. Zingine ni cities kwa standard zenu ziipimanishwa na za Kenya zitakua za mwisho
Mwanza inaichapa Kisumu yenu mbali saana
Mwanza inaendana na Mombasa
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sema famous kwenye masikio yako

Kwataarifa yako the trend ni hii

Dar es Salaam
Zanzbar
Mwanza & Arusha
Mbeya
Tanga
Na soon Dodoma
Izo macity bila dar hakuna enye inachapa Eldoret
bc810b46c58452b84f4d4200a0029a97.jpg
63fbffb31379212ac0aef161be285a4f.jpg
 
haya!!!! Sasa hakuna kupost maskyscrapers tena?

Wabongo, kunani? Mumeshindwa sas ni kubeat tu chests ati u are greater.
 
Eldy surbabs zinajengwa na ma Athletes wote you see on t.v winning medals. good investments plan
 
Ndo maana nasema hujielewi

Et kisumu
Kimji cha gorofa moja[emoji23]
 
Eldi ni extra rich iko na millionaires kibao...ma suburbs zake ata zinacompete na za darslum

Halaff kwa akina Sammuel999 huku, Kisii ni kutamm aisee!

Kisii Town


Nifungue hii thread ama nisifungue?

839566.jpg


10421576_952454048116482_3350527821471209975_n.jpg


jenfwtedaj7fs4a58c8462ea3dc6.jpg


Cnn6-hsWIAE68Lx.jpg


Sam......nyinyi mko serious aisee. Sisi watu wa Ksm tumelala.
 
Naona wakenya wamepoteana Tumeweka Magorofa mengi sana hapa Dar zaidi ya 20F wameanza kukimbia kimbia.
 
Mbona mnakimbia kimbia. Hapa ni Building more than 20Fs mbona sasa hivi mnaenda tofauti. Nimekuchapa kule sasa hivi unalia lia.
Hapana.......mmeacha kupost mapicha za Dar, tangu jana. So, mkikataa kuendelea na thread. Haisuluu!
 
Back
Top Bottom