KweliKwanza
JF-Expert Member
- Aug 20, 2016
- 3,520
- 2,816
Tulia hivyoivyo sindano ikuingieKisumu is the biggest city in lake Victoria..take that to the bank...labda mwanza kwa population but kwa development pole
Ukianza kutaja ata vingine vimji vya kijingakijinga sisi tunavyo kibaoNairobi ,mombasa ,nakuru ,eldoret , kisumu,kericho,kiambu,nyeri ...etc ...kma huijui kenya fyata mdomo na uende ufanye research ...
Nani alianza. Nimeshaweka list ya Buldings:-Hapana.......mmeacha kupost mapicha za Dar, tangu jana. So, mkikataa kuendelea na thread. Haisuluu!
Umeacha kuleta picha za Dar? Kubali tu ukweli mmeshindwa........tuendelee na mchezo, au sio?Tulia hivyoivyo sindano ikuingie
Hii ni mwanza
Ningekuwa mwanza ningeongeza mijengo
Oya nimeshaweka hapa majengo. Naombeni mjibu kutoka kenya. List ipo hapo juu.Bungoma Town
Umeacha kuleta picha za Dar? Kubali tu ukweli mmeshindwa........tuendelee na mchezo, au sio?
C mlikimbia lakiniBungoma Town
Umeacha kuleta picha za Dar? Kubali tu ukweli mmeshindwa........tuendelee na mchezo, au sio?
Zanzibar inaichapa mombasa Hands down
Unamaanisha huu mjiKitale huwa kunakaaje btw?
Fact after kampla ..kisumu jinja then mwanza
Hujafika mwanza weweeeThe only good thing in Mwanza by the way is the geographical location, otherwise i wonder why they are calling it a city
Zanziba iko vizuri sana tena hasa kwa mahoteli na sehem za kustareheznzibar hata haifikii Lamu
I hope iwe approved soon ipae
Umefika hii miji ? Watz wacheni ujinga ..have you been to kiambu or nyeri!!!have you been to any place in kenya ndo uniambie ujinga na mimi mkenya ...ujinga mwingi ..kiambu and nyeri are actually one of the richest counties in the country ....dont think ati the world revloves about tz !!!Ukianza kutaja ata vingine vimji vya kijingakijinga sisi tunavyo kibao
Sasa nyeri ndo kamji gani[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Et kiambu[emoji2][emoji23][emoji26]
Bora ata kisii
zanzibar ni historical city ila kuna sehemu tumezitenga maalum kwa new modern building au vipZanziba iko vizuri sana tena hasa kwa mahoteli na sehem za kustarehe
Ila kwa muonekano ni mji wa kizamani ulio na majengo mengi ya kizamani na ya kisasa
Uko nyuma ya miji kama mwanza na arusha juz becoz mwanza na arusha ni miji ya kisasa
This is Zanzibar
ivi kaka kuona floor ngap vileI hope iwe approved soon ipae
Pamoja na jengo la kakakuona
Yaan kila mwaka DSM inatupa majengo kama zawadi vile
Tuma picha bas[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Umefika hii miji ? Watz wacheni ujinga ..have you been to kiambu or nyeri!!!have you been to any place in kenya ndo uniambie ujinga na mimi mkenya ...ujinga mwingi ..kiambu and nyeri are actually one of the richest counties in the country ....dont think ati the world revloves about tz !!!