Nairobi Vs Dar es Salaam: Towers over 20 floors

πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€ middlwe economy ya kwenye makaratasi kwanza malizeni janga la njaa alafu muje mkiwa mumeshiba hahahahhahaπŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
huyo aliyetueka sisi middle income ndio aliyewaeka nyinyi LDC
 
Tuma enye ni +100$ billion nikuvulie kofia..Kenya ndio tumepata resources na tutautalize
πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€ unaongea sana my friend lakini kwenye resources acha kabisa zungumza mambo mengine πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 
huyo aliyetueka sisi middle income ndio aliyewaeka nyinyi LDC
πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€ na sasa povu zinawatoka hua munanifurahisha sana mkiambiwa dar kubwa zaidi ya city zenu tatu hamutaki hahahahhahahahπŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 
you r very ignorant.....update your servers upstairs before you embarrass yourself again
 
no point,no facts,,,,,just yapping....okay dar nikubwa kushinda new york..u happy?
 
you r very ignorant.....update your servers upstairs before you embarrass yourself again
πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€ dalili za povuuuuuuuuuuuuuuuuuuu 1590.5 km sq hahhahhahahaha eti utuletee 696 km sq huku mombasa 300 km sq kisumu 200 km sq hahahahahhahahah bado hamutoboi kwa dar tuπŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 
no point,no facts,,,,,just yapping....okay dar nikubwa kushinda new york..u happy?
ni kubwa ndio hahahahahhaha πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€

New York City added roughly 4 million residents in the past 100 years. Dar es Salaam will add 21 million over a similar span.
 
πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€ unaongea sana my friend lakini kwenye resources acha kabisa zungumza mambo mengine πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
Msee kuna oil turkana coal kitui..tuma above 100$ b nkuheshimu
 
Lusematic unasema kenya ilijengwa na wakoloni, google Nairobi in 1963 angalia picha vizuri, alafu linganisha na ya 2017, wacha propaganda ya CCM, tafuta pia mall ya kwanza kenya ilijengwa when? Dar imeanza kuinuka juzi mnapiga makelele, eti tanzania ina kila kitu kushinda kenya., angalia gdp ya dar vs nairobi., uone uzito na pia ya nchi kwa ujumla. Endeleeni na kujijenga kimya kama Ethiopia, ndafurahia kama mtaipiku kenya., nangoja sana kushuhudia wimbo wa CCM "tutaipiku Kenya".,
 
ni kubwa ndio hahahahahhaha πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€

New York City added roughly 4 million residents in the past 100 years. Dar es Salaam will add 21 million over a similar span.
Kuadd wa2 21 million unasherekea? Unataka slums zijae dar..enyewe hufijiri
 
This is coal in kitui it is equal to your GDP..$40b kwale $100b add zenu zote
http://allafrica.com/stories/201207040184.html
 
ha haaa asa unabisha nyievmlikuta miji kidogo imeshaendelezwa na wakoloni...kwa asilimia kubwa ila nyie mkadandia fuso mngekuwa mmeanza kama sisi mngeumia tena sana asilimia kubwa ya mafanikio kenya ni ukoloni/mkolon usibishe
kwani ukibisha tena nitakuchapa fimbo tano za makalioni
 
hehehehehe ndugu kwa tanzania utasubiri sana tena sana πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
Kijana tunatumia facts hapa..Tanzania ilikua na resources but Kenya imediscover na tutazitumia hatuko mabongolala ka nyinyi...leta link hapa ka huna ya $100 b jikate
 
Kuipita Kenya?kwani Kenya mnann?nyie mnaongoza kwa umaskini uliokithiri ndio tukae tuwawaze?sisi tunawaza kuikwamua Tanzania iwe nchi bora zaidi ya leo! ! Tutakapokua bora zaidi ya leo ndipo malengo yetu yatakua yametimia!!huo ujinga unauwaza wewe hatuna vision hyo na haiji kua sehemu ya ilani ya chama chochote apa nchini!!
 
Fanya utafiti wacha yap yap bila facts., uchumi wa tanzania na kenya zilikua sawa., kuna kipindi tz ilifanya vizuri kuliko kenya lakini mikakati ya ccm ni hovyo, it couldnt sustain development., ukatae ukubali, tanzania mlilalia masikio, sasa ndio jitu linaamka! hapo sipingi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…