COLLOH-MZII RELOADED
JF-Expert Member
- Apr 6, 2017
- 7,544
- 3,131
Nimekutumia picha wameanza kuisell tayari...wewe uko Nairobi kwaninimekwambia la mec is not completed unalazmisha vipi wewe ondoa story za lamec tuendeleee completed buildingsππππππππππππ
haha unahesabu na dome hahahahaha 22 fl bro tuendelee hio kwanza hatuingizi malizeni kujenga kwanzaπππππππNani ka hesabu ground floor nasema hizo ni 24 ...ground floor na zingine mbili haxionekani
Google jengo tayari wameanza kuuza...kwa customersnioneshe interior hahaha wakati dome yenywe haijaisha
hata NHC morocco square dar wameanza ku sell na haijaisha hio isikutishe sanaNimekutumia picha wameanza kuisell tayari...wewe uko Nairobi kwani
Millennium 27 TPA 36
17fls not 16guysni 16 floors sio 15 fl
Kenya Ardhi ni ya mafisadiMajengo yenu inajengwa na serikali...za Kenya ni wawekezaji....unaona tafauti soma iyo article kenye huelewi eseme nikutranslatie kwa kiswahili
Ila huyu siyo mzimakutubeba ufala sitaki
Ukicheka unatusaidia nini wewe mkenya!!Wengine tunawasoma humu na kuwacheka kimyakimya..hahhhaha!
Nimebaini Nairobi haina kitu
yaani naangalia Jengo lakwanza mpaka latano yoote Dar es salaam
yaani jengo refu nairobi ni 33fl tena mawili!!!
Hawa wana tushinda vitu viwili yaani Slum na barabara
hawa si wanajifanya hawaelew........waache wabaki na utumbo waosoma hio link kutoka world bank mwaka 2017
world-bank-values-dars-real-estate 273 billion more than nairobi
https://www.google.com/url?sa=t&rct...e.html&usg=AFQjCNEFe4wx4U89h90-IO-LXmBYMrNc2A
usijifariji wew ukweli ndyo huo ishasomwa yote hiyo na kuna interview naitafuta nikiipata nawamaliza inazungumzia buo mchakato mzimaRead the whole statement..its highly valued because its expensive to rent a house/office soma mpaka chini uelewe si ati majengo ni mengi...umeona hapo chini wamesema but Nairobi is more lucrative
Naomba uangalie google earth ..Kariakoo na Upanga Dar ..ndo utajua high rises ziko ngapi darI am on your team, Kiswahili kigumu kweli, I mean't they are very many high rises and sky scrappers in Nai compared to Dar...yaani uncountable/hayahesabiki.
ujielew wew kwan unadhan sis huku tunazijenga kwaajili ya kupata hasara....niaje wewNa u google maana ya lucrative ni "more profitable"
asa umeamini kama sisi ni bora kuliko ninyi kwani serikali yenu ikithubutu kubuild majengo uchumi wenu chali......ndyo maana nakwambiaga kenya mnajengewa sisi nchi twaijenga wenyew.......unajifanya unabishaga....Majengo yenu inajengwa na serikali...za Kenya ni wawekezaji....unaona tafauti soma iyo article kenye huelewi eseme nikutranslatie kwa kiswahili
πππ!...maeneo hayo mawili tu?..haya basi...ntaangalia mtondo ikiwezekana mtondogoo.Naomba uangalie google earth ..Kariakoo na Upanga Dar ..ndo utajua high rises ziko ngapi dar
asa umeamini kama sisi ni bora kuliko ninyi kwani serikali yenu ikithubutu kubuild majengo uchumi wenu chali......ndyo maana nakwambiaga kenya mnajengewa sisi nchi twaijenga wenyew.......unajifanya unabishaga....