Nairobi Vs Dar es Salaam: Towers over 20 floors

Nairobi Vs Dar es Salaam: Towers over 20 floors

0c2db04f4873c88cd457efc747aeb45b.jpg
kutubeba ufala sitaki
Ila huyu siyo mzima
hiyo ni Forums
siyo oficial web
 
Nimebaini Nairobi haina kitu
yaani naangalia Jengo lakwanza mpaka latano yoote Dar es salaam

yaani jengo refu nairobi ni 33fl tena mawili!!!

Hawa wana tushinda vitu viwili yaani Slum na barabara
 
Nimebaini Nairobi haina kitu
yaani naangalia Jengo lakwanza mpaka latano yoote Dar es salaam

yaani jengo refu nairobi ni 33fl tena mawili!!!

Hawa wana tushinda vitu viwili yaani Slum na barabara

Endelea kujidanganya, hakuna aliye na muda wa kupoteza, kaingie google earth mwenyewe!
 
Read the whole statement..its highly valued because its expensive to rent a house/office soma mpaka chini uelewe si ati majengo ni mengi...umeona hapo chini wamesema but Nairobi is more lucrative
usijifariji wew ukweli ndyo huo ishasomwa yote hiyo na kuna interview naitafuta nikiipata nawamaliza inazungumzia buo mchakato mzima
 
Majengo yenu inajengwa na serikali...za Kenya ni wawekezaji....unaona tafauti soma iyo article kenye huelewi eseme nikutranslatie kwa kiswahili
asa umeamini kama sisi ni bora kuliko ninyi kwani serikali yenu ikithubutu kubuild majengo uchumi wenu chali......ndyo maana nakwambiaga kenya mnajengewa sisi nchi twaijenga wenyew.......unajifanya unabishaga....
 
Naomba uangalie google earth ..Kariakoo na Upanga Dar ..ndo utajua high rises ziko ngapi dar
😀😀😀!...maeneo hayo mawili tu?..haya basi...ntaangalia mtondo ikiwezekana mtondogoo.
Sina muda na vitu vya hovyo kama vya Tanganyika.
 
asa umeamini kama sisi ni bora kuliko ninyi kwani serikali yenu ikithubutu kubuild majengo uchumi wenu chali......ndyo maana nakwambiaga kenya mnajengewa sisi nchi twaijenga wenyew.......unajifanya unabishaga....

Hamna serikali tajiri kama la Kenya ukanda huu wote.Hilo lijue leo mwana kwa taarifa yako.
Lenyu hilo kwa hela zipi?..hilo hilo la MADAFU ama lipi?..ha!😱
 
Back
Top Bottom