hawa........hawana cha maanaluse Mimi unanibamba kwa maneno ya shombo tu dhidi ya wakenya....ni burudani sana...[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
zeee la kupenda kiki kama msanii
kila ukiguswa waya...
zee la kujifariji.......ha haa[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] pole sana spenzia a.k.a matamvua
Na kitu kisiwadanganye mje hapa tena round two, tutawapiga hadi mfiane hapa. Kwa sasa nairobi inawaka moto kwenye sekta ya majengozeee la kupenda kiki kama msanii
kila ukiguswa waya...
zee la kujifariji.......ha haa[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] pole sana spenzia a.k.a matamvua
kweli kabisa tunalijua...yaani hata hatupingi yaani nairobi ni kuwaka moto mpaka kuungua ....mpo mbali sana aisee mpaka natamani kuwa mkenya[emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji31] [emoji31] [emoji23] [emoji23]Na kitu kisiwadanganye mje hapa tena round two, tutawapiga hadi mfiane hapa. Kwa sasa nairobi inawaka moto kwenye sekta ya majengo
una kengeza si bureLamu has a better aeriel view than Dar
Sawa kubali yaishe matamvuakweli kabisa tunalijua...yaani hata hatupingi yaani nairobi ni kuwaka moto mpaka kuungua ....mpo mbali sana aisee mpaka natamani kuwa mkenya[emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji31] [emoji31] [emoji23] [emoji23]
Maneno mengi mwenye towers over 20 floors mmepigwa na Dar. Dar es salaam kaibuka mshindi mnaanza kuwekea lamu na parks mala mageti ya nyumba. Watu waajabu sana. Kunajamaa limetuwekea hadi bar. Thread hii na pombe wapi na wapi?Na kitu kisiwadanganye mje hapa tena round two, tutawapiga hadi mfiane hapa. Kwa sasa nairobi inawaka moto kwenye sekta ya majengo
Wewe umekulupuka toka kichakani haujui kinacho endelea hapa, pitia kulasa za nyuma hutaongea vile unavyo ongeaManeno mengi mwenye towers over 20 floors mmepigwa na Dar. Dar es salaam kaibuka mshindi mnaanza kuwekea lamu na parks mala mageti ya nyumba. Watu waajabu sana. Kunajamaa limetuwekea hadi bar. Thread hii na pombe wapi na wapi?
Mnatuma lamu na estate za Nairobi zinahusiana nn na Uzi?Kushindwa wapi pale Dar inadaiwa majengo matano. Fungueni thread ya towers over 20 storeys outside Dar and Nairobi
Tuliwambia kwa sasa tunafanya warm-up na estates kwanza tukiwangoja mjenge majengo mengineMnatuma lamu na estate za Nairobi zinahusiana nn na Uzi?
Hamna nondo tulieni
Itakua baada ya miaka mingapi hadi likamilike?
2020 itakua imeishaItakua baada ya miaka mingapi hadi likamilike?
At the rate by 2025 tutakua tunaongelea 100-floor towersItakua baada ya miaka mingapi hadi likamilike?
Nimepitia zote za nyuma. Wakenya nyie ndomnageuza mada ya thread nakuweka picha za ajabu. Wabongo nao wanadandia kumbe niayenu nikupoteza mada ya thread. You are very funny.Wewe umekulupuka toka kichakani haujui kinacho endelea hapa, pitia kulasa za nyuma hutaongea vile unavyo ongea
mimi nakubali....sinaga shida yaani wewe ni nowma....yaani ni bonge la tajiri.....[emoji31] [emoji31] [emoji31] [emoji23] [emoji23]Sawa kubali yaishe matamvua
Hv jozi ni ya level za east kweli honestly?sipendi ushabiki wa kijingaawa jamaa waezi rudi. labda serikali yao iingilie kati. Times Tower ilikaa 20yrs haina compee, wakawajengea TPA ili wawe juu. kumbe hawakujua wanamwamsha simba aliyelala. baada ya miezi tisa wakajibiwa na UAP Tower kisha wakaongezewa nyundo ya Britam Tower.
saa hii Nairobi inakimbiza Jo'burg na si siri