Lusematic
JF-Expert Member
- Feb 2, 2017
- 12,039
- 11,822
hawa........hawana cha maanaluse Mimi unanibamba kwa maneno ya shombo tu dhidi ya wakenya....ni burudani sana...[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
......nimegundua kitu kama wakenya ni watu wazembe wenye propaganda nyingi zakizamani.....hawa expand ni watu wa kukariri...mfano mzuri kwenye masuala ya ardhi yaani akili zao jinsi walivyomezeshwa eti wanajua ardhi yote ya tanzania ina rutuba.....[emoji31] [emoji23] [emoji23] [emoji31] [emoji31] [emoji31]