Kwikwikwi.... 😀😀😀😀😀Bahati nzuri I know kenyans very well, ndio maana hamunipi shida kabisa 😀😀😀😀😀😀😀
Nimeenda huko Le mac jioni hii nikashangaa😱😱, Ghorofa lenyewe kumbe wanatudanganya kwa nje! Ndani nimekuta ina floor moja tu!!!
Kesho naamkia TPA kutafuta floor zote za Ndani zisizoonekana kwa nnje na kuziweka kweupe😉!
Watch this space😎