Asee ndugu umeongea kwa uhemko hadi raha.Hivi lini Dar iliishinda Mombasa, maana ndio level yake, ama kwa kujenga majengo mawili mkaanza kutunisha misuli na kujiona mumekaribia hadhi ya kupimana na Nairobi.
Mjenge walau superhighway moja ili muwaze kuitaja Nairobi, sio hapo mlijenga flyover moja ikawa kivutio cha watalii Tanzania yote, ilhali flyover za Nairobi tumezichoka.
Hivi unafahamu uchumi wa Nairobi pekee yake unatoshana na uchumi wa Tanzania yote, yaani muungano wa nchi zote mbili Tanganyika na Zanzibar.
Hivi lini Dar iliishinda Mombasa, maana ndio level yake, ama kwa kujenga majengo mawili mkaanza kutunisha misuli na kujiona mumekaribia hadhi ya kupimana na Nairobi.
Mjenge walau superhighway moja ili muwaze kuitaja Nairobi, sio hapo mlijenga flyover moja ikawa kivutio cha watalii Tanzania yote, ilhali flyover za Nairobi tumezichoka.
Hivi unafahamu uchumi wa Nairobi pekee yake unatoshana na uchumi wa Tanzania yote, yaani muungano wa nchi zote mbili Tanganyika na Zanzibar.
Asee ndugu umeongea kwa uhemko hadi raha.
Yani uchumi wa Nai uwe wa Tz nzima acha uhemko braza.
Dar inakua kwa kasi ina majengo mengi na inazidi kuboreshwa na fly over zinazidi jengwa pia.
Au hulifaham hilo??!!!!
Hapa ni comparison ya Kampala and Nairobi Dar itoe.
Halafu kumbuka Dar ni mara tatu ya Nairobi kwa ukubwa sawa Nai imejengeka ila tunawapa CBD ya Dar inatoshana na Nairobi nzima kutokana na ukubwa wake.
Nairobi ni kijiji kwa kampala. Nai ni kubwa midomoni mwao tu
Hebu msifananishe Nairobi yetu na vitu vya kijinga, Kampala hawana hii bus terminal ya kimataifa mpaka naingia kaburini [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
naikuingie maana simunajiona ni waulaya hiyo hapo ndo bus terminal yenuUwezo wako wa kufikiria umeishia hapo[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
We kwale bila kuitaja TZ haujiskii poa.Hivi lini Dar iliishinda Mombasa, maana ndio level yake, ama kwa kujenga majengo mawili mkaanza kutunisha misuli na kujiona mumekaribia hadhi ya kupimana na Nairobi.
Mjenge walau superhighway moja ili muwaze kuitaja Nairobi, sio hapo mlijenga flyover moja ikawa kivutio cha watalii Tanzania yote, ilhali flyover za Nairobi tumezichoka.
Hivi unafahamu uchumi wa Nairobi pekee yake unatoshana na uchumi wa Tanzania yote, yaani muungano wa nchi zote mbili Tanganyika na Zanzibar.
Tunazungumzia kuhusu East Africa kijana tuliza akili.Dar ni kubwa kushinda new york pia...usisahau hilo[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]naona dar imeipiku new york..
Uwezo wako wa kufikiria umeishia hapo[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Achana na uyo msela wa kibera njaa itakshikisha adabuAsee ndugu umeongea kwa uhemko hadi raha.
Yani uchumi wa Nai uwe wa Tz nzima acha uhemko braza.
Dar inakua kwa kasi ina majengo mengi na inazidi kuboreshwa na fly over zinazidi jengwa pia.
Au hulifaham hilo??!!!!
Hapa ni comparison ya Kampala and Nairobi Dar itoe.
Halafu kumbuka Dar ni mara tatu ya Nairobi kwa ukubwa sawa Nai imejengeka ila tunawapa CBD ya Dar inatoshana na Nairobi nzima kutokana na ukubwa wake.
Mimi ni mganda halisi kabisaMi ni mtanzania halisi na mwafrika mashariki mbobezi...
Siweki ushabiki au uchachandu ila ukweli ulio dhahiri...
Bila kupepesa macho wala kuona aibu
1. Nairobi
2. Dar Es Salaam
3. Kampala
4. Kigali
5. Bujumbura
Nimemaliza
ukitamka DAR uwe unajua DAR nini DAR sio ulimwengu wako ndugu DAR ni high level DAR nikubwa kinyama zaidi ya unavyoijua dar ni kama ka nchi hivi usilingsnishe na kifungishio kama nairobiHivi lini Dar iliishinda Mombasa, maana ndio level yake, ama kwa kujenga majengo mawili mkaanza kutunisha misuli na kujiona mumekaribia hadhi ya kupimana na Nairobi.
Mjenge walau superhighway moja ili muwaze kuitaja Nairobi, sio hapo mlijenga flyover moja ikawa kivutio cha watalii Tanzania yote, ilhali flyover za Nairobi tumezichoka
Hivi unafahamu uchumi wa Nairobi pekee yake unatoshana na uchumi wa Tanzania yote, yaani muungano wa nchi zote mbili Tanganyika na Zanzibar.
Hiroshima and Nagasaki bomb site[emoji23][emoji23]ukitamka DAR uwe unajua DAR nini DAR sio ulimwengu wako ndugu DAR ni high level DAR nikubwa kinyama zaidi ya unavyoijua dar ni kama ka nchi hivi usilingsnishe na kifungishio kama nairobiView attachment 1198782
Hawa wa Tz huwa na ujinga mob mazee.. mimi niko uku ushagoo but nina stayingi side za korogocho nikijanga tao. Ebu peana picha za estate unayo stay tuwa show vile walivyo mafala.Hebu msifananishe Nairobi yetu na vitu vya kijinga, Kampala hawana hii bus terminal ya kimataifa mpaka naingia kaburini [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]