Nairobi vs Kampala

Nairobi vs Kampala

unamanya mama wanjiru huwanga busy na mbogi ya kimonyoski time nyingi, halafu hujipatanga ako maji kidedlee Jo! But usiingize njeve budda

Hizo vitu zako nitazisaka time nikiwafree jo
Now nipo na chipipi moja munono kidedli jo

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23] ww kuta vitu hizo. Uki come Kisumu upitie side za Nyalenda huku tuna stay watu wa nguvu.
sxcdryhkp1tm6gf5cfaa98cc907a.jpeg
 
images


Uncle Tom (Tony254) say something please about our city in the sun of Nairobi as we can see West appealing there 😂😂😂😂😂😂
Jinga wewe Re Dimmer ,si Manzese na Temeke kunakaa hivi pia mazingira na nyumba mbovu?
 
[emoji23][emoji23][emoji23] ww kuta vitu hizo. Uki come Kisumu upitie side za Nyalenda huku tuna stay watu wa nguvu. View attachment 1199034
😂😂😂😂 Huko naget mko na mnyweso ya chang'aa mob, milo za buzaa na takataka zingine, siwezani nazo jo

Come tujiwekele bangla or rukuna pako cool kama unavocheck hapo 😂😂😂

Kibera.jpg
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Huko naget mko na mnyweso ya chang'aa mob, milo za buzaa na takataka zingine, siwezani nazo jo

Come tujiwekele bangla or rukuna pako cool kama unavocheck hapo [emoji23][emoji23][emoji23]

Kibera.jpg
Huko kuko vi cool vi deadly, pia ma manzi wa side hiyo wako na njaro poa. Rent inaendaje lakini? Ebu chekiana na keja hiyo hapo pembeni ya hiyo bush uniambie ni soo ngapi nije nipeane na landlord.
images-4.jpeg
 
images


Uncle Tom (Tony254) say something please about our city in the sun of Nairobi as we can see West appealing there 😂😂😂😂😂😂
Naona ile kiboko nilikuchapa asubuhi bado inakuwasha. Huwezi kukaa masaa mawili bila kutaja jina langu.
 
Mi ni mtanzania halisi na mwafrika mashariki mbobezi...

Siweki ushabiki au uchachandu ila ukweli ulio dhahiri...

Bila kupepesa macho wala kuona aibu
1. Nairobi
2. Dar Es Salaam
3. Kampala
4. Kigali
5. Bujumbura


Nimemaliza
Kampala labda waifananishe na Mwanza, kwa levels za Dar na Nairobi haijafika bado.

Hata ukiangalia kwa kipimo "quick and dirty" cha skyline tu utaona Kampala ipo ligi daraja la pili na haiwezi kushindana ligi daraja la kwanza zilipo Nairobi na Dar.

Kampala as far as I know, hata uwanja wa ndege wa kimataifa tu mpaka uende Entebbe.
 
Kampala labda waifananishe na Mwanza, kwa levels za Dar na Nairobi haijafika bado.

Hata ukiangalia kwa kipimo "quick and dirty" cha skyline tu utaona Kampala ipo ligi daraja la pili na haiwezi kushindana ligi daraja la kwanza zilipo Nairobi na Dar.

Kampala as far as I know, hata uwanja wa ndege wa kimataifa tu mpaka uende Entebbe.
Wewe hujuangi.. Kampala aina Airport coz ni milima mingi. Nai Vs Kampala ni fair
 
Tuko na chakula km zote buddah uwe unakunjanga kuchukua ukipenda man.
Usijali jirani nita kujanga.. pia nasikia uko kuna ma jobs mob. Huku tuna amka asubuhi nakwenda tao tukiwa tume vaa ma coat ya suit na suruali huku tuna zungusha mabahasha kwa ofisi za wenyewe.
 
mkuu mimi ni mtz, ila unapoteza tu mda wako kwenye hzi mada zishakua nyingi sana huku na akuna aliepata ata kumi kwenye izi mada labda jamii forum tu wenyewe ndo wamepata faida: acha kupoteza mda wako, kama hujawahi kwenda nairobi we tafuta kazi ufanye, dar haiwezi kufika level ya nairobi mwaka huu: wala miaka kumi, remember na wao hawajasmama, ingawa wana changamoto zao za apa na pale ila ukwel ni kwamba wapo mbele sana kuanzia currency yao mpaka infrastructures: bado tuna kazi kubwa kufika walipofika, na kama wananchi hawafanyi kazi sasa kufika izo level tutabaki tu uku kwenye forum, mwisho wa mada: i can hardly say dar inaweza kua ya tatu kwenye miaka ya karibuni, ulishawahi ona wauganda wako wanabishana uku? ila mwaka huu wametangazwa as the best enterprenueal country in the WORLD not in AFRICA but in the WOOOORLD:
 
Huko kuko vi cool vi deadly, pia ma manzi wa side hiyo wako na njaro poa. Rent inaendaje lakini? Ebu chekiana na keja hiyo hapo pembeni ya hiyo bush uniambie ni soo ngapi nije nipeane na landlord.View attachment 1199086
Land lord wa hiyo kejani hubamba mukuchu kwa force sana, halafu side ime jaa na masafara wa kutupwa jo😂😂😂😂

Rent hapo haikai zaidi ya five banga, you know side hiyo ni ya makapurwa na lasma kuwe na mapuuupa saa yooote!! Wasee hawapafeel jo
 
mkuu mimi ni mtz, ila unapoteza tu mda wako kwenye hzi mada zishakua nyingi sana huku na akuna aliepata ata kumi kwenye izi mada labda jamii forum tu wenyewe ndo wamepata faida: acha kupoteza mda wako, kama hujawahi kwenda nairobi we tafuta kazi ufanye, dar haiwezi kufika level ya nairobi mwaka huu: wala miaka kumi, remember na wao hawajasmama, ingawa wana changamoto zao za apa na pale ila ukwel ni kwamba wapo mbele sana kuanzia currency yao mpaka infrastructures: bado tuna kazi kubwa kufika walipofika, na kama wananchi hawafanyi kazi sasa kufika izo level tutabaki tu uku kwenye forum, mwisho wa mada: i can hardly say dar inaweza kua ya tatu kwenye miaka ya karibuni, ulishawahi ona wauganda wako wanabishana uku? ila mwaka huu wametangazwa as the best enterprenueal country in the WORLD not in AFRICA but in the WOOOORLD:
Kaka na ww kuhusu Uganda kutangazwa kuwa best enterpreneual nation worldwide unaamini????
Huwenda wamekaa kimya kwa kuwa wamepakwa mafuta kwa mgongo wa chupa.

Nakubali bro kwa sasa hatuifikii Nairobi ila tutaifikia ndan ya muda mfupi tu kwan China aliifikiaje US.
Trust yourself dude believe in yourself.
Miaka tano tena Mingi.
 
Nairobi hii hii yenye slum kila kona au kuna nyingine [emoji23][emoji23][emoji23] wewe ndo wale wa story za vijiweni.
mkuu mimi ni mtz, ila unapoteza tu mda wako kwenye hzi mada zishakua nyingi sana huku na akuna aliepata ata kumi kwenye izi mada labda jamii forum tu wenyewe ndo wamepata faida: acha kupoteza mda wako, kama hujawahi kwenda nairobi we tafuta kazi ufanye, dar haiwezi kufika level ya nairobi mwaka huu: wala miaka kumi, remember na wao hawajasmama, ingawa wana changamoto zao za apa na pale ila ukwel ni kwamba wapo mbele sana kuanzia currency yao mpaka infrastructures: bado tuna kazi kubwa kufika walipofika, na kama wananchi hawafanyi kazi sasa kufika izo level tutabaki tu uku kwenye forum, mwisho wa mada: i can hardly say dar inaweza kua ya tatu kwenye miaka ya karibuni, ulishawahi ona wauganda wako wanabishana uku? ila mwaka huu wametangazwa as the best enterprenueal country in the WORLD not in AFRICA but in the WOOOORLD:
 
Alafu eti chapo ni chakula cha anasa Nairobi [emoji23][emoji23][emoji23]
Land lord wa hiyo kejani hubamba mukuchu kwa force sana, halafu side ime jaa na masafara wa kutupwa jo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Rent hapo haikai zaidi ya five banga, you know side hiyo ni ya makapurwa na lasma kuwe na mapuuupa saa yooote!! Wasee hawapafeel jo
 
Back
Top Bottom