Nairobi vs Kampala

Nairobi vs Kampala

Wewe hujuangi.. Kampala aina Airport coz ni milima mingi. Nai Vs Kampala ni fair
Tatizo unaandika "hujuangi".

Weka skylines za Kampala, Nairobi na Dar tuanze hapo kwanza na simple litmus test tu.
 
Kukalili huwa ni mboga ya aina gani hapo sukumaland??? That "Kukalili" Tells me you are a tailess African Hunting dog.
 
Land lord wa hiyo kejani hubamba mukuchu kwa force sana, halafu side ime jaa na masafara wa kutupwa jo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Rent hapo haikai zaidi ya five banga, you know side hiyo ni ya makapurwa na lasma kuwe na mapuuupa saa yooote!! Wasee hawapafeel jo
Hahahaaa[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3].. kuna ma landlord wengine huwa ni tafashi bana
 
Tatizo unaandika "hujuangi".

Weka skylines za Kampala, Nairobi na Dar tuanze hapo kwanza na simple litmus test tu.
Masee wewe ushikanishi any.. Kampala niku noma, kuna ma place ka Bugolobi kunaka kivingine yani. Ingianga google ujibambe mwenyewe
 
Mi ni mtanzania halisi na mwafrika mashariki mbobezi...

Siweki ushabiki au uchachandu ila ukweli ulio dhahiri...

Bila kupepesa macho wala kuona aibu
1. Nairobi
2. Dar Es Salaam
3. Kampala
4. Kigali
5. Bujumbura


Nimemaliza
Mimi pia huwa sio mpenzi wa kidandia vitu ila baada ya kuona comment yako na kukuona upo kitambo humu Jf imenibidi na mimi nichangie.

Ni ukweli usiopingika kabisaaaa, hakuna JIJI KAMA NAIROBI hapa East Afrika. Kwa tathmini ndogo ni sawa kuilinganisha kiuchumi Kenya na Tanzania, kitu ambacho hakipo sawa kabisa japo tunabaki kujipa moyo tu.

Kenya inaendelea kutokana na viongozi kubadilika, kule hakuna uchama ila kuna maslahi ya Taifa mbele, ila huku Tanzania ni uchama na mdomo tu.

Ni aibu kubwa mno kwa watanzania kujishindanisha na nchi kama Kenya, sio Tz tu bali East Afrika kwa ujumla. Hawa wenzetu wamepiga hatua haswa.

Nairobi isifananishwe na jiji lolote hapa EA.
 
mkuu mimi ni mtz, ila unapoteza tu mda wako kwenye hzi mada zishakua nyingi sana huku na akuna aliepata ata kumi kwenye izi mada labda jamii forum tu wenyewe ndo wamepata faida: acha kupoteza mda wako, kama hujawahi kwenda nairobi we tafuta kazi ufanye, dar haiwezi kufika level ya nairobi mwaka huu: wala miaka kumi, remember na wao hawajasmama, ingawa wana changamoto zao za apa na pale ila ukwel ni kwamba wapo mbele sana kuanzia currency yao mpaka infrastructures: bado tuna kazi kubwa kufika walipofika, na kama wananchi hawafanyi kazi sasa kufika izo level tutabaki tu uku kwenye forum, mwisho wa mada: i can hardly say dar inaweza kua ya tatu kwenye miaka ya karibuni, ulishawahi ona wauganda wako wanabishana uku? ila mwaka huu wametangazwa as the best enterprenueal country in the WORLD not in AFRICA but in the WOOOORLD:
Mimi pia huwa sio mpenzi wa kidandia vitu ila baada ya kuona comment yako na kukuona upo kitambo humu Jf imenibidi na mimi nichangie.

Ni ukweli usiopingika kabisaaaa, hakuna JIJI KAMA NAIROBI hapa East Afrika. Kwa tathmini ndogo ni sawa kuilinganisha kiuchumi Kenya na Tanzania, kitu ambacho hakipo sawa kabisa japo tunabaki kujipa moyo tu.

Kenya inaendelea kutokana na viongozi kubadilika, kule hakuna uchama ila kuna maslahi ya Taifa mbele, ila huku Tanzania ni uchama na mdomo tu.

Ni aibu kubwa mno kwa watanzania kujishindanisha na nchi kama Kenya, sio Tz tu bali East Afrika kwa ujumla. Hawa wenzetu wamepiga hatua haswa.

Nairobi isifananishwe na jiji lolote hapa EA.
Mimi ni mkenya, nilikuanga naamini Nai iko poa zaidi EA. Nikaja kuona pics na video za Dar.. nime agree Dar nikunoma masee. Nita come huko ku visit
 
Mimi pia huwa sio mpenzi wa kidandia vitu ila baada ya kuona comment yako na kukuona upo kitambo humu Jf imenibidi na mimi nichangie.

Ni ukweli usiopingika kabisaaaa, hakuna JIJI KAMA NAIROBI hapa East Afrika. Kwa tathmini ndogo ni sawa kuilinganisha kiuchumi Kenya na Tanzania, kitu ambacho hakipo sawa kabisa japo tunabaki kujipa moyo tu.

Kenya inaendelea kutokana na viongozi kubadilika, kule hakuna uchama ila kuna maslahi ya Taifa mbele, ila huku Tanzania ni uchama na mdomo tu.

Ni aibu kubwa mno kwa watanzania kujishindanisha na nchi kama Kenya, sio Tz tu bali East Afrika kwa ujumla. Hawa wenzetu wamepiga hatua haswa.

Nairobi isifananishwe na jiji lolote hapa EA.
Pole ndio wale walipokaji ungekaa kimya tu Kama mwanzo
 
Hapo ndio manjiona mmeyapatia wenyewe kama wale wanaovaa sendo na sox au sio?


Mnashirikiana bila fact... Jitahidin basi hata msafiri mufike katika sehem tajwa mtamezeshwa matango pori.

Alafu pitien pitieni vitabu vya uchumi muone GDP inapatikana vipi... Msipagawe pagawe kila mnachosimuliwa.

Nairob ni taifa la mabeberu.. Ranking nyingi zinapita pale... Ukiitaka kuijua nai nenda kajionee.. Vitabu vitakudanganya...

We haushangai gdp wapo juu ila ajira mbovu... Huduma za kijamii ni mbovu... Bidhaa bei za ajabu... Njaa imetawala bado nchi ipo insecure...

Sasa vinatokana na nin unafikiri.

Jifunzeni msiropoke.

Mi nawaambia... Nimebahatika kutembea nchi zote east and central africa...

Tanzania ni zaidi ya bora wakuu.
Mimi pia huwa sio mpenzi wa kidandia vitu ila baada ya kuona comment yako na kukuona upo kitambo humu Jf imenibidi na mimi nichangie.

Ni ukweli usiopingika kabisaaaa, hakuna JIJI KAMA NAIROBI hapa East Afrika. Kwa tathmini ndogo ni sawa kuilinganisha kiuchumi Kenya na Tanzania, kitu ambacho hakipo sawa kabisa japo tunabaki kujipa moyo tu.

Kenya inaendelea kutokana na viongozi kubadilika, kule hakuna uchama ila kuna maslahi ya Taifa mbele, ila huku Tanzania ni uchama na mdomo tu.

Ni aibu kubwa mno kwa watanzania kujishindanisha na nchi kama Kenya, sio Tz tu bali East Afrika kwa ujumla. Hawa wenzetu wamepiga hatua haswa.

Nairobi isifananishwe na jiji lolote hapa EA.
 
Mimi pia huwa sio mpenzi wa kidandia vitu ila baada ya kuona comment yako na kukuona upo kitambo humu Jf imenibidi na mimi nichangie.

Ni ukweli usiopingika kabisaaaa, hakuna JIJI KAMA NAIROBI hapa East Afrika. Kwa tathmini ndogo ni sawa kuilinganisha kiuchumi Kenya na Tanzania, kitu ambacho hakipo sawa kabisa japo tunabaki kujipa moyo tu.

Kenya inaendelea kutokana na viongozi kubadilika, kule hakuna uchama ila kuna maslahi ya Taifa mbele, ila huku Tanzania ni uchama na mdomo tu.

Ni aibu kubwa mno kwa watanzania kujishindanisha na nchi kama Kenya, sio Tz tu bali East Afrika kwa ujumla. Hawa wenzetu wamepiga hatua haswa.

Nairobi isifananishwe na jiji lolote hapa EA.
[emoji16][emoji16][emoji16]wewe umelala usingizi wa icu.na hili ndio tatizo lenu baadhi ya wakenya.mnajisahau mno na kuamini maisha nje ya nairobi yamesimama.

watu kama sauti sol ilibidi tu waongee ukweli,kwamba wameshtuka sana,bahati mbaya au nzuri hawakuja kutembea,wamealikwa kikazi hivyo hatukuweza kuwatembeza zaidi jiji la mfano east africa[emoji16][emoji16],wangeshangaa zaidi kisha wajidharau kabisaa.

bro imechapwa newyork city na hongkong,paris na dubai,sembuse nairobi the home of slums[emoji38]
 
Hapo ndio manjiona mmeyapatia wenyewe kama wale wanaovaa sendo na sox au sio?


Mnashirikiana bila fact... Jitahidin basi hata msafiri mufike katika sehem tajwa mtamezeshwa matango pori.

Alafu pitien pitieni vitabu vya uchumi muone GDP inapatikana vipi... Msipagawe pagawe kila mnachosimuliwa.

Nairob ni taifa la mabeberu.. Ranking nyingi zinapita pale... Ukiitaka kuijua nai nenda kajionee.. Vitabu vitakudanganya...

We haushangai gdp wapo juu ila ajira mbovu... Huduma za kijamii ni mbovu... Bidhaa bei za ajabu... Njaa imetawala bado nchi ipo insecure...

Sasa vinatokana na nin unafikiri.

Jifunzeni msiropoke.

Mi nawaambia... Nimebahatika kutembea nchi zote east and central africa...

Tanzania ni zaidi ya bora wakuu.
wenyewe kenya wanajua.

ndio maana mkenya yeyote anamkasirikia mtz bila sababu.
 
Mi ni mtanzania halisi na mwafrika mashariki mbobezi...

Siweki ushabiki au uchachandu ila ukweli ulio dhahiri...

Bila kupepesa macho wala kuona aibu
1. Nairobi
2. Dar Es Salaam
3. Kampala
4. Kigali
5. Bujumbura


Nimemaliza
Bujumbura ni Manispaa tu, haijafika hadhi ya jiji.

Vv
 
Dar ni kubwa kushinda new york...je dar imeipiku new york....[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]wacha kutoka nje ya mada please[emoji382][emoji382][emoji382][emoji382]
Tunazungumzia kuhusu East Africa kijana tuliza akili.
Una akili timamu ww????
New York imetokea wapi???
Ilhali twaizungumzia Africa???

New York yako haifikiii ht robo mji wa Doha Qatar ama Abudhabi Dubai New York yako haifui dafu ng'oooo hatta iende kwa mganga wa kienyeji.
 
Ugua tu pole pole...hta mkafungua nyuzi ngapi..ukwel uko pale pale[emoji1787][emoji1787][emoji1787]na si kumbe mnaumia jamani
Nairobi_Bus_terminal_2.JPG


[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] Itawachukua Kampala several centuries kutufikia Nairobi hapa
 
Back
Top Bottom