njaakalihatari
JF-Expert Member
- Feb 12, 2019
- 4,081
- 8,671
mnajitoa ufahamu kirahisi ivyo??Ni ujinga kufanya hiyo ndagu kwa mechi 30 za TFF ambapo mwisho wa msimu unapata millions 500 wakati leo ukiifanya hapo Khartoum unaingia makundi na kujipatia billion 1.2
Ile style ya kutembelea vituo yatima msiogope wandugu ipigeni leo mkitua hapo mchana, wahi supermarket kanunueni mazagazaga ,mwamnyeto akae mbele kabisa kabeba magunia ya sukari na mchele baada ya hapo mkapumzike hotelini, maneno ya kunuizia mnayofanyaga kwa hao yatima mnayajua wenyewe
Ramani hii hapa, vituo vikubwa ni viwili MYGOMA ORPHANAGE NA SOS CHILDREN VILLAGE KHARTOUM
View attachment 2387733
Unaamanisha yanga wanajitoaga fahamu kutembelea vituo vya yatima kabla ya mechi za TFF?mnajitoa ufahamu kirahisi ivyo??
wakipitia kituo cha yatima kugawa sukari na sabuni wanashindaWatapigwa kama ngoma
kali kweli ila ndiyoukweli huo au unadhani kila mechi za TFF wanapotembelea yatima na kugawa mchele wana upendo nao sana?Duh! Hii kali
Hapo lazima waende Al-Remaiyla cemetery. Ndio sehemu pekee inaweza kuwapunguzia aibu.Ni ujinga kufanya hiyo ndagu kwa mechi 30 za TFF ambapo mwisho wa msimu unapata millions 500 wakati leo ukiifanya hapo Khartoum unaingia makundi na kujipatia billion 1.2.
Ule mtindo wa kutembelea vituo yatima msiogope wandugu, ipigeni leo mkitua hapo mchana. Wahi supermarket kanunueni mazagazaga, Mwamnyeto akae mbele kabisa kabeba magunia ya sukari na mchele baada ya hapo mkapumzike hotelini. Maneno ya kunuizia mnayofanyaga kwa hao yatima mnayajua wenyewe.
Ramani hii hapa, vituo vikubwa ni viwili MYGOMA Orphanage na SOS Children Village Khartoum.
View attachment 2387733
hahahahahaaaaaaaHapo lazima waende Al-Remaiyla cemetery. Ndio sehemu pekee inaweza kuwapunguzia aibu.
Kambi yao wanafanyia msikitini pazito hapoAl hilal wamechinja ngamia.