Achana na mtandao wa vodaImekuwa kawaida kwangu kutapeliwa pesa ninazobadili kuwa vocha, natuma kwenda Vodacom kutoka Tigo lakini upande wa Vodacom hazifiki. Huduma Kwa wateja Tigo wanadai wao wametimiza jukumu Lao kwa kufanikisha pesa kutumwa kikamilifu....
Matokeo, pesa hairudi na vocha sipati. Naingia hasara na hadi sasa jumla ya pesa niliyotapeliwa ni zaidi ya 50k.
Ushahidi ninao na vielelezo ninavyo..
Mimi nilituma muamala kweny kampuni flani hivi 15k yule jamaa akaniambia nirudishe muamala weeeh si nikarudisha nilichokutana nacho baada ya kuwapigia voda wanasema muamala utarudi ndani ya masaa 72 qbbk mpka leo hamna kituImekuwa kawaida kwangu kutapeliwa pesa ninazobadili kuwa vocha, natuma kwenda Vodacom kutoka Tigo lakini upande wa Vodacom hazifiki. Huduma Kwa wateja Tigo wanadai wao wametimiza jukumu Lao kwa kufanikisha pesa kutumwa kikamilifu....
Matokeo, pesa hairudi na vocha sipati. Naingia hasara na hadi sasa jumla ya pesa niliyotapeliwa ni zaidi ya 50k.
Ushahidi ninao na vielelezo ninavyo..
Voda wanazingua sana siku hiziii mm zangu halotel na airtelAchana na mtandao wa voda
Mwisho million 5Nje ya mada kidogo wakuu🙏🙏
. Hivi hizi account za mitandao ya simu zinaweza kuhold pesa hadi kiasi gani maximum??
I mean Tigopesa,. Mpesa Halopesa au Airtelmoney
Na je haiwezekan kuboost hyo line ya kawaida ikapokea zaidi ya m 5 mkuu.tupeane maujanjaMwisho million 5
Asante mkuu,. Maana kuna kitu kilinistuaMwisho million 5
Unai boostNa je haiwezekan kuboost hyo line ya kawaida ikapokea zaidi ya m 5 mkuu.tupeane maujanja
TIGO wezi balaa. Lakini siku za karibuni there was some improvement in their service.Imekuwa kawaida kwangu kutapeliwa pesa ninazobadili kuwa vocha, natuma kwenda Vodacom kutoka Tigo lakini upande wa Vodacom hazifiki. Huduma Kwa wateja Tigo wanadai wao wametimiza jukumu Lao kwa kufanikisha pesa kutumwa kikamilifu....
Matokeo, pesa hairudi na vocha sipati. Naingia hasara na hadi sasa jumla ya pesa niliyotapeliwa ni zaidi ya 50k.
Ushahidi ninao na vielelezo ninavyo..
Mwanzoni ilikuwa ni 5m. Corona ilipokuja wakapandisha kuwa 10m.Nje ya mada kidogo wakuu🙏🙏
. Hivi hizi account za mitandao ya simu zinaweza kuhold pesa hadi kiasi gani maximum??
I mean Tigopesa,. Mpesa Halopesa au Airtelmoney
Okay,. Kwamfano za mtandao gani zinaweza kuhold iyo 10m,. Na unajuaje ??Mwanzoni ilikuwa ni 5m. Corona ilipokuja wakapandisha kuwa 10m.
Kuna line zinazoweza kuhold mpaka Billion Moja.
So, hutegemea sana na aina ya line na matumizi yake.
Line zote zinaweza kuhold ten Million. Hiyo ndiyo least amount .Okay,. Kwamfano za mtandao gani zinaweza kuhold iyo 10m,. Na unajuaje ??
Okay thanksLine zote zinaweza kuhold ten Million. Hiyo ndiyo least amount .
Ila unaweza kutransact miamala ya 5m tu kwa siku.
Pole Sana mkuu, mm hii iishawahi Nikuta nikahamisha pesa kutoka tigo kwenda vodacom, cha ajabu voda wanasema muamala umerud tigo nilienda tigo nao wanasema muamala upo voda kiufupi tigo na Vodacom majizi Hadi Leo hii elf 90 yangu nilipotea nililalamika kwenye majukwaa ya Mitandao lakin sikupatiwa ufumbuxiImekuwa kawaida kwangu kutapeliwa pesa ninazobadili kuwa vocha, natuma kwenda Vodacom kutoka Tigo lakini upande wa Vodacom hazifiki. Huduma Kwa wateja Tigo wanadai wao wametimiza jukumu Lao kwa kufanikisha pesa kutumwa kikamilifu..
Matokeo, pesa hairudi na vocha sipati. Naingia hasara na hadi sasa jumla ya pesa niliyotapeliwa ni zaidi ya 50k.
Ushahidi ninao na vielelezo ninavyo..
Pole Sana mkuu, mm hii iishawahi Nikuta nikahamisha pesa kutoka tigo kwenda vodacom, cha ajabu voda wanasema muamala umerud tigo nilienda tigo nao wanasema muamala upo voda kiufupi tigo na Vodacom majizi Hadi Leo hii elf 90 yangu nilipotea nililalamika kwenye majukwaa ya Mitandao lakin sikupatiwa ufumbuz
Nadhani ni Kwa sababu tunaishia kulalamika bila kuchukua hatua..!Pole Sana mkuu, mm hii iishawahi Nikuta nikahamisha pesa kutoka tigo kwenda vodacom, cha ajabu voda wanasema muamala umerud tigo nilienda tigo nao wanasema muamala upo voda kiufupi tigo na Vodacom majizi Hadi Leo hii elf 90 yangu nilipotea nililalamika kwenye majukwaa ya Mitandao lakin sikupatiwa ufumbuxi
Sasa jiulize, wameibia wangapi Kwa uhuni wa namna hii!Scenerio yako imenikuta, uzuri pesa ilikuwa natuma kutoka tigo kwenda voda kununua airtime ya kawaida.. Kwa hiyo pesa zote haizidi 10,000
Utapiga simu kuwaulizs, wanakujibu tunashughulikia Ila ndio imetoka. Sasa najiuliza kwa zile siku ambazo ilikuwa inagoma na sikufuatilia ina maanisha walikuwa wanaiba.. Huu ni wizi
Laini yangu ya voda mwisho kuweka pesa ni milioni Saba kwa wakati mmoja na kutoa ni milioni tatuMwisho million 5