Watutumbukize baharini wachukue nchi ikiwa haina watu.Kwa kuwa watanzania wameonesha kukosa uwezo wa kuendesha reli zetu, mimi kama mtanzania mzalendo tena kindakinda, natoa ushauri kwa serikali yetu tukufu waipe DP world watuendeshee SGR Yetu.
Tukiwapa DP world tutapata mafanikio zaidi ya hayo tutakayoyapaya kwa kuwapa bandari yetu.
Muhimu ni kwamba SGR itaanza kazi bila kuwa na mafisadi.
BoraWatutumbukize baharini wachukue nchi ikiwa haina watu.
Mimi naishauri Serikali, waipe Dubai Ikulu ya Dodoma kwa kuanzia waiendeshe wao. 😕Kwa kuwa watanzania wameonesha kukosa uwezo wa kuendesha reli zetu, mimi kama mtanzania mzalendo tena kindakinda, natoa ushauri kwa serikali yetu tukufu waipe DP world watuendeshee SGR Yetu.
Tukiwapa DP world tutapata mafanikio zaidi ya hayo tutakayoyapaya kwa kuwapa bandari yetu.
Muhimu ni kwamba SGR itaanza kazi bila kuwa na mafisadi.
Kweli kabisa.Mimi naishauri Serikali, waipe Dubai Ikulu ya Dodoma kwa kuanzia waiendeshe wao. 😕
Kwa mfano ttcl licha ya kumiliki miundombinu yote ya mawasiluano, lakini haijawahi kupata faida yoyote, kama ilivyo Atclsekta zote wizi na upigaji ndo tunaweza.
Wazo nzuri ili upate MAENDELEO MAKUBWAKwa kuwa watanzania wameonesha kukosa uwezo wa kuendesha reli zetu, mimi kama mtanzania mzalendo tena kindakinda, natoa ushauri kwa serikali yetu tukufu waipe DP world watuendeshee SGR Yetu.
Tukiwapa DP world tutapata mafanikio zaidi ya hayo tutakayoyapaya kwa kuwapa bandari yetu.
Muhimu ni kwamba SGR itaanza kazi bila kuwa na mafisadi.
Tena haimalizi miaka 10 si tunaona mabasi ya mwendokasi, shagalabagala.Kilimanjaro hotel ilipokuwa mali ya serikali ufanisi wake ulikuwa -30, baada ya kuuzwa hotel ilikarabatiwa na kuwa na hadhi ya nyota*****.
Kwa sasa Serikali inavuta kodi kila siku na hakuna cha kuwapa ruzuku wala nini.
Tusipowapa SGR yetu, wandeshaji mahiri kama DP world, tutegemee reli yetu kufa ndani ya miaka miwili.
Ukitaka kujua kama wabongo tunaweza kuendesha vitu au la panda treni ya kwenda Kigoma utakuja kusema hapa. Au panda mwendokasi ujioneeKweli sgr serikali haitoweza kuiendesha,bora waingie ubia
Watafeli mapema sana
Ova
Wafanya kazi TPA wengi ni wazembe,wavivu ,madharau tuUkinunua gari au boda boda dereva akawa haleti hesabu akatokea dereva ambaye ataleta hesabu utampatia anayeleta hesabu hata kama dereva mzembe ni mwanao wa kuzaliwa. Nchi inahitaji maendeleo na njia iliyotumika kwenye bandari ni kuondoa watu wachache wanaofaidika na bandari na kuweka wawekezaji watakaolipa serikali na zile pesa kutumika kwenye maendeleo.
Mwendokasi tu wanambwelambwelaTumeirithi reli ya Wajerumani tumeiua, tumejengewa reli na wachina tumeiua, tusipowapa DP World hata hii tutaiua
Namuunga mkono mleta mada 100%
Mleta mada kafikiria jambo la maana sana.Mwendokasi tu wanambwelambwela
Vyoo vya umma tu kuvisimamia hatuwezi
Sgr wataiweza wapi hawa
Sahv sisi tunajuwa kukata mauno jukwani basi
Ova
Iwaongezee na ikulu na kila kilichomoKwa kuwa watanzania wameonesha kukosa uwezo wa kuendesha reli zetu, mimi kama mtanzania mzalendo tena kindakinda, natoa ushauri kwa serikali yetu tukufu waipe DP world watuendeshee SGR Yetu.
Tukiwapa DP world tutapata mafanikio zaidi ya hayo tutakayoyapaya kwa kuwapa bandari yetu.
Muhimu ni kwamba SGR itaanza kazi bila kuwa na mafisadi.
HahaaaaIwaongezee na ikulu na kila kilichomo