Naishi mbali na mke wangu, kila napompigia simu yake inatumika nifanyaje nimechoka?

Naishi mbali na mke wangu, kila napompigia simu yake inatumika nifanyaje nimechoka?

  • Niachane nae?

    Votes: 9 52.9%
  • niendelee kuvumilia?

    Votes: 8 47.1%

  • Total voters
    17
Ila wewe jamaa mbona kama unadeka, na SMS, text za whatsapp hajibu?

kama na hizo hajibu basi duh
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…