Naishi mbali na mke wangu, kila napompigia simu yake inatumika nifanyaje nimechoka?

Naishi mbali na mke wangu, kila napompigia simu yake inatumika nifanyaje nimechoka?

  • Niachane nae?

    Votes: 9 52.9%
  • niendelee kuvumilia?

    Votes: 8 47.1%

  • Total voters
    17
Kuna kauli ya kihuni niliisoma humu humu,kipindi cha mkandamizaji, kwamba mshauli wa ndoa nae kesha tom........wa. Sasa, mtu anaekwambia kataa ndoa,atakushauri nini!!! Mana yake,hata yeye yamemshinda.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…