Ndugu zangu wana JF nmekua nikisumbuliwa na tatizo la tumbo tangu 2005, tumbo limekua likiniuma kwa maumivu makali sana kwa nyakati tofauti.
VIPIMO/ TIBA
Nmepima vipimo mbalimbali katika hospitali tofauti na kwa nyakati tofauti bila kuonesha tatizo lolote. Baadhi ya vipimo nlivopima ni pamoja na HP piloy kile cha Ulcers, Ultra Sound, Blood, ODG, CT SCAN, Chronophology na vipimo vidogo kama UTI, MINYOO, TYPHOID, na KICHOCHO Lakin vyote haivijawahi ku detect tatizo lolote mwilini
UGONJWA
Maumivu nnayoyapata hua yanabadilika siku hadi siku kwa maana kwamba tumbo linakua na maumivu ya aina tofauti, kuna siku linajaa gas, kuna siku linabana na kufanya nipumue kwa shida. Ila kwa kiasi kikubwa sipati choo kama inavyotakiwa na inapotokea nmepata choo vizuri hali yangu hua nzuri na maumivu hupotea kwa mda
MADHARA
1. kutokana na hali hiyo kuna wakati nashindwa kwenda kazini kati ya mda wa wiki 2 nikiwa ninaugulia ndani hivyo kuathiri uchumi wangu (Nimejiajiri).
2. Hali hii pia imenifanya niwe dhaifu pale nnapokutana na mchumba wangu kitandani
3.Hali hii imenifanya nishindwe kutumia baadhi ya vyakula na vinywaji ambavyo kabla nlikua navitumia.
4.Hali hii imenifanya kuwa mpweke kiasi cha kuhisi nmemkosea nn Muumba wangu
5.Hali hii imenifanya wakat mwingine kujitenga na marafiki zangu
6.Hali hii inanifanya kushindwa kufanya baadhi ya kazi ngumu ikiwa ni pamoja na mazoezi
LENGO LA KUJA JF
Lengo kubwa la kuja kuanika tatizo langu hapa JF, kwanza ni kuomba msaada wa hali kwa maana ya ushauri jinsi gani naweza kuondokana na hili tatizo hatimae na mm siku moja niwe kijana nnayefurahia maisha yangu nikiwa na afya imara lakini pia nipate elimu namna gani hili tatizo naweza kuliondoa
NB:Kama kuna sehemu nmekosea kuandika kwa usahihi nipo tayari kusahihishwa hasa kwa ule upande wa majina ya vipimo. Umri wangu ni miaka 29.
Ahsanteni sana [emoji1488]
VIPIMO/ TIBA
Nmepima vipimo mbalimbali katika hospitali tofauti na kwa nyakati tofauti bila kuonesha tatizo lolote. Baadhi ya vipimo nlivopima ni pamoja na HP piloy kile cha Ulcers, Ultra Sound, Blood, ODG, CT SCAN, Chronophology na vipimo vidogo kama UTI, MINYOO, TYPHOID, na KICHOCHO Lakin vyote haivijawahi ku detect tatizo lolote mwilini
UGONJWA
Maumivu nnayoyapata hua yanabadilika siku hadi siku kwa maana kwamba tumbo linakua na maumivu ya aina tofauti, kuna siku linajaa gas, kuna siku linabana na kufanya nipumue kwa shida. Ila kwa kiasi kikubwa sipati choo kama inavyotakiwa na inapotokea nmepata choo vizuri hali yangu hua nzuri na maumivu hupotea kwa mda
MADHARA
1. kutokana na hali hiyo kuna wakati nashindwa kwenda kazini kati ya mda wa wiki 2 nikiwa ninaugulia ndani hivyo kuathiri uchumi wangu (Nimejiajiri).
2. Hali hii pia imenifanya niwe dhaifu pale nnapokutana na mchumba wangu kitandani
3.Hali hii imenifanya nishindwe kutumia baadhi ya vyakula na vinywaji ambavyo kabla nlikua navitumia.
4.Hali hii imenifanya kuwa mpweke kiasi cha kuhisi nmemkosea nn Muumba wangu
5.Hali hii imenifanya wakat mwingine kujitenga na marafiki zangu
6.Hali hii inanifanya kushindwa kufanya baadhi ya kazi ngumu ikiwa ni pamoja na mazoezi
LENGO LA KUJA JF
Lengo kubwa la kuja kuanika tatizo langu hapa JF, kwanza ni kuomba msaada wa hali kwa maana ya ushauri jinsi gani naweza kuondokana na hili tatizo hatimae na mm siku moja niwe kijana nnayefurahia maisha yangu nikiwa na afya imara lakini pia nipate elimu namna gani hili tatizo naweza kuliondoa
NB:Kama kuna sehemu nmekosea kuandika kwa usahihi nipo tayari kusahihishwa hasa kwa ule upande wa majina ya vipimo. Umri wangu ni miaka 29.
Ahsanteni sana [emoji1488]